Utajiri wa 'ngende' (ushirikina) una masharti magumu kuliko utajiri wowote ule duniani

Mjinga tu ndio ataamini hayo uliyoeleza hapo juu, Mbona hamna ndagu za kilimo? Nipande leo na kuvuna leo leo.
 
Du. Yaani wewe unataka kusema watu watapeliwe tu kwa sababu haimhusu? Wewe huwa unaona raha watu wengine wakiibiwa kwa sababu tu haikuhusu? Kila mwanadamu angekuwa na ubinafsi namna hii dunia ingekalika? Ni jukumu la kila mmoja wetu kuzuia uhalifu wa aina yoyote na utapeli ukiwemo. Huu ujinga wa kusema kuna mtu atakufanyia dawa uwe tajiri ni wa kizamani sana japokuwa bado kuna wajinga wanaliwa. Aliyeanzisha thread ni mwongo na anayoelezea siyo kweli na pengine lengo lake ni kutapeli watu hapa. Anataka aulizwe alipo huyo mganga ili aelekeze hao wajinga kwa huyo mganga tapeli amabye anaweza kuwa ndugu au rafiki yake. Mnakolalia ndiko tulikoamkia.
 
Natengua shilingi mkuu nimeteleza tu
 
Hayo masharti ni simple sana.kama unachemka kwa masharti simple Kama haya,Basi ww ni mzembe kupindukia.yapo masharti ukiambiwa,unamwambia mganga akupe muda ukatafakari,hata yy anakwambia Rudi kwanza halafu ukishaamua njoo tuendelee.
Nadhani huwa wanaanza na simple Ili utamu kolea.Hela ya shetani haiendi bure ni lzm utaiuza tu nafsi yako
 
Watu 100 wasiofanana hawawezi kuwa wrong
 
Duh! Watu mnatoka mbaliii!!!
 
Haya chukua sharti rahisi kabisa......unaweza kumu amber rutty mama yako ?? Kama jibu no NDIO SEMA SUUUUUUUUUUUUUUUUU......ukishindwa ondoka kimya kimya..........lingine ni kwamba Kira ukiliwa nyuma unapata pesa mpaka watu wanakuogopa......yaani kupata kwako pesa wewe ni kupewa mjengo Tu......lakini anayekupa umuoni unaisikia iko Tu ndani.....je uko tayar??
 
Katika kila jambo muweke Mungu mbele. Mwenyezi Mungu ndiye muweza wa kila jambo.
Kwa Mungu kuna uhakika japo uchelewa lakini ni salama zaidi ukifika wakati utosumbuka utashangaa KILA ugusacho tiki
 
Utajiri wa mateso.Hakuna kitu kizuri kama familia kufaidi nayo matunda
 
Fool ni wewe unayejaribu kudanganya watu hapa kuwa kuna utajiri wa dawa. Tena idiot mkubwa. Ondoa upumbavu wako hapa na usidhani watu ni wajinga kama wewe. Umezoea kuishi kwa kulamba vidonda kama nzi badala ya kufanya kazi. Kwenda kafanye kazi na usilete imani zako za kijijini hapa.
 
Hahhaha unateseka ukiwa wapi, nakuacha na upumbavu wako, jambo usilolijua litakusumbua.
Jambo nisilojua?? Uchawi wa kumfanya mtu awe tajiri? Du... nasema tena nenda kwa wajinga wenzako mkaongozane lakini siyo hapa. Hapa utaambiwa ukweli tu.
 
Mkuu naomba unikutanishe na huyo mganga wa kumpelekea shilling 100 kiangazi hiyo haiwezi kunishinda nitamtumia hata kwa Mpesa
Wewe nadhani utashindwa kabla ya kufika home kwako.
Ukiambiwa usigombane na mtu mpaka ufike kwako.
Mara uko kwenye basi konda anakuzodoa mwanzo wa safari mpaka mwsho.
Ushaanza namtumia kwa mpesa huku kakuambia upeleke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…