Utajuaje kama huna nafsi au umeuza nafsi

Ina maana mtu anaweza kufa huku nafsi yako ikiwa imefeli kupambana na roho nyingine chafu kama uzinzi na mambo mengine? [emoji3166], ngoja nipambane kuweza kuacha roho chafu ya kufanya ngono maana hiki kitu kinanitesa sanaaaa mara zote ngono ndio jambo linalonitesa sana maana kwa siku moja naweza kutembea na kufanya mapenzi na wanawake zaidi ya watatu [emoji22] na kila nikijaribu kuacha ili jambo najikuta nashindwa kabisaaa aiseee
 
Ungetuambia kwanza maana ya Nafsi ungekuwa umefanya jambo la msingi sana.
 
Hahahahha hebu dadavua hapa maana wenyewe wanaitaga kusafiri[emoji28] af mie nahisi wanga ni meditators wazuri sana maana wanaacha vitanda wanaenda kuingia kwenye manyumba ya watu huko!
Bro hv unazungumzia meditation au astral projection
 
Hii chai mbona haina sukari na tangawizi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
For my side nilifanya sio kujaribu meditation for the two weeks trust me ile hali niliyojisikia till now naitafuta "sijawahi jisikia vizuri katika maisha yangu kama kipindi icho nafanya meditation trust me kwanza inaongeza concentration kwa 100% yaani mfano ukienda kusali basi unakuta akili yako ime concentrate kwenye kusali tu yaani mpaka raha tofauti na siku za nyuma katikati ya sala unashangaa mawazo ya kijinga yanakuja pili,nilikuwa najihisi mwepesi sana in terma of mwili yaani hadi nilikuwa naona nyoya ni zito kwa kweli kwa bahati mbaya mambo yakaingiliana na tatu, nikaweza kucontrol hisia zangu kama vile hasira mpaka washkaji wakashangaa wakati mì ni mrahisi sana kukasirika na fourth kuna kitu kilinitokea kilikuwa very amazing yaani hichi siwezi waambia then till now naitafuta ile hali dah"
 
Tuaumbie hiko kitu AMAZING,na utujulishe ulifanyajefanyaje kufanya iyo meditation huto pungukiwa na kitu mkuu

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
Tuaumbie hiko kitu AMAZING,na utujulishe ulifanyajefanyaje kufanya iyo meditation huto pungukiwa na kitu mkuu

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Siwezi mkuu kilinifanya niamini masuala ya dimension yapo kama vile higher dimension imagine unaona kitu unamuuliza mwwnzako umekiona kile kitu alafu anakuambia hajakiona
 
Acha uongo bro
 
Acha uongo bro
Believe it or not that is your concern not mine.... mi nimetoa experience yangu trust me if you meditate on something like your fears unashangaa huogopi tena na pia inapelekea higher concentration mpaka kuna kipindi nikiwa nawaza mambo yangu nipo na washkaji unajikuta like upo peke yako hv yaani hata mambo waahkaji wanayoongelea tena kwa sauti huwasikii kabisa
 
Hiyo ilikuwa Astra
 
Huyo hajafanya meditation
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…