Utakatishaji Fedha, Biashara inayoendelea kwa Siri kubwa

Utakatishaji Fedha, Biashara inayoendelea kwa Siri kubwa

Kutakatisha pesa ni kitendo cha kuchukua pesa iliyopatikana kwa njia haramu(madawa, wizi,utapeli etc)kisha kuiingiza kwenye mfumo,biashara halali inayotambulika kisheria.

Mfano labda tuseme mimi ninafanya biashara ya madawa ya kulevya, pesa nitakayoipata baada ya kufanya biashara ya madawa ya kulevya niende nikafungue showroom ya kuuza magari, so kila ninapouza madawa nachukua pesa naenda kuongeza magari huo ndio utakatishaji. Wengine ongezeeni
 
Mtoa post unaonekana hujui maana ya Utakatishaji fenda ni Kuitoa pesa chafu ambayo ilipatikana visivyo halali eg wizi uwe wa serikalini au ujambazi au hela uliyoipata visivyo halali na kwa vile ni nyingi unataka isikae mkononi mwako iwe kwenye mzunguko ili ufaidike baada ukiwa nayo watu wajue uliipata kwa biashara isionekane kuwa uliipata kwa njia isiyo halali serikali ijue kuws chanzo cha mapato yako ni ile biashara na sio vinginevyo.
 
Kutakatisha pesa ni kuingiza pesa iliyopatikana kwa njia isiyo halali na kuiingiza katika mzunguko (ulio halali ie biashara ya duka)
Kwahiyo fisadi moja serikalini akinunua ma basi ya abiria kutokana na pesa ya rushwa au hongo huo ni utakatishaji wa pesa??
 
Kwahiyo fisadi moja serikalini akinunua ma basi ya abiria kutokana na pesa ya rushwa au hongo huo ni utakatishaji wa pesa??
Mtoa post unaonekana hujui maana ya Utakatishaji fenda ni Kuitoa pesa chafu ambayo ilipatikana visivyo halali eg wizi uwe wa serikalini au ujambazi au hela uliyoipata visivyo halali na kwa vile ni nyingi unataka isikae mkononi mwako iwe kwenye mzunguko ili ufaidike baada ukiwa nayo watu wajue uliipata kwa biashara isionekane kuwa uliipata kwa njia isiyo halali serikali ijue kuws chanzo cha mapato yako ni ile biashara na sio vinginevyo.
 
Kutakatisha pesa ni kuingiza pesa iliyopatikana kwa njia isiyo halali na kuiingiza katika mzunguko (ulio halali ie biashara ya duka)
Na hivi ndivyo nijuavyo kwamba pesa yoyote ambayo inapatikana katika shughuli zilizo nnje ya sheria za nchi na pengine kidunia ndio huwekwa kwenye huo upande wa kuwa pesa haramu ila wahusika mara nyingi huwa wanazitafutia sababu ya kuzitakasa ili zionekane safi.

Sasa kitu ambacho kidogo kimeniyumbisha kwenye hilo bandiko ni kwamba mfano wa watu wa makanisa kwamba kwa mujibu wa andiko kile wanachokifanya sicho kinachowaingizia pesa ila wanatumia hiyo njia ili iwe ya utakaso wa hizo fedha walizo nazo.

Hapa ndio amenichanganya mimi kwa sababu hadi sasa kuna pastor alikua na kanisa lake huko buza na alikua anaombea watu kwa laki tano na watu wanakiri kwamba walikua wanatoa hizo fedha na bado kuna mmoja alijaza ule uwanja wa pale kawe na akauza sana maji na mafuta plus sadaka na mengine yote ambayo yaliyofanyika usiku ule kuhamisha pesa kutoka kwenye mifuko ya watu kwenda kwakwe.

Hapa ndipo nnapohitaji connection ya hilo andiko na utakatishaji.

Yaani anawezaje kuprove kwamba hawa watu hawapati pesa kupitia hizo njia ila zipo njia haram za upatikanaji wa pesa zao hasa ukizingatia uwingi wa wafuasi ambao wamejizolea kwenye hayo maeneo yao ya kazi.
 
Kwahiyo fisadi moja serikalini akinunua ma basi ya abiria kutokana na pesa ya rushwa au hongo huo ni utakatishaji wa pesa??
Ndio jibu hilo ila huwa hawanunui wakinunua wataulizwa hela umetoa wapi ili kukwepa hilo wanawekeza kwenye kampuni za watu wengine Ambao waliza chini kusota so wameinuka kidogo na wao wanatia mzigo pale unashangaa kampuni ina miaka michache ina gari kibao nyingine ina umri kama ule ila inasota bado Mfano mzuri. Ester luxury coach new force mule kuna mikono ya waishimiwa kibao
 
Kwahiyo fisadi moja serikalini akinunua ma basi ya abiria kutokana na pesa ya rushwa au hongo huo ni utakatishaji wa pesa??
Kutakatisha pesa ni kitendo cha kuchukua pesa iliyopatikana kwa njia haramu(madawa, wizi,utapeli etc)kisha kuiingiza kwenye mfumo,biashara halali inayotambulika kisheria.

Mfano labda tuseme mimi ninafanya biashara ya madawa ya kulevya, pesa nitakayoipata baada ya kufanya biashara ya madawa ya kulevya niende nikafungue showroom ya kuuza magari, so kila ninapouza madawa nachukua pesa naenda kuongeza magari huo ndio utakatishaji. Wengine ongezeeni
 
Habari wadau!

Naenda kwenye hoja moja kwa moja kwenye hoja.

Ki ukweli utakatishaji fedha ni biashara ambayo ipo kwa siri sana.

Usione mtu anajipost na rundo la hela na hana kazi yeyote akasema yeye ni free mason ukaamini we ni mjinga hata serikali ina ujinga flani.


Kuna watu wana hela Dunian hapa hela chafu ambayo inahitaji kuwa katika system sehemu sahihi ya kutakatisha ni Africa.


Usione msanii analipwa milioni 300 ya kibongo kwa shoo ya watu 20 uko nje ukasema amepata bingo.

Leo hii kuna companies wanakopesha hela kisa una Nida Number siamini kama kweli wanapata faida.


Wachungaji feki wa kutosha wana hela hatari. Ukiuliza wanauza maji na mafuta au baraka ndo wanapata hizo hela.


Jichanganye ukiamini utatoboa kama hamna source ya hizo hela.


Watakatishaji fedha wakubwa duniani ni


1. Drug dealers.
2. Wanasiasa
3. Wafanyabiashara.
4. Wanamichezo.
5. Wasanii. ( wanamuziki na wacheza filamu.)
6. Kamali.

Ongeza yako unayoyajua katika hili!!!!!!
Hujui neno utakatishaji mkuu mana ake mtu kufanya biashara haramu na kisha pesa hizo kuzipeleka kwenye halali hili hali ni haramu sasa hao ulio wataja wanapesa zao halali hapo drug dealers tu ndo umepatia
 
Watakatoshaji wanapenda sana viongozi wa dini hasa hizi za kilokole Mzigo unapitishwa ukitoka ni legit, wanasaidiwa na vyombo vya usalama maana sheria za utakatishaji zipo sema zinatumiwa KISIASA .
 
Ujitaidi uwe unakula mara tatu kila siku uache kuonea watu wivu nyie ndiyo wale mkiona mtu ametoboa mnasema amejiunga freemason leo umehamia kwenye utakatishaji utajifariji mpaka unye
 
Tusaidiane utakatishaji pesa ni kufua pesa zitakate kwa maji na sabuni?
Money laundering is the illegal process of making large sums of money obtained from a criminal activity, such as drug trafficking or terrorist funding, appear to have come from a legitimate source. The money obtained through criminal activity is deemed dirty, and the process “launders” it to make it appear clean

Kutakatisha pesa ni kitendo cha kuchukua pesa iliyopatikana kwa njia haramu(madawa, wizi,utapeli etc)kisha kuiingiza kwenye mfumo,biashara halali inayotambulika kisheria.

Mfano labda tuseme mimi ninafanya biashara ya madawa ya kulevya, pesa nitakayoipata baada ya kufanya biashara ya madawa ya kulevya niende nikafungue showroom ya kuuza magari, so kila ninapouza madawa nachukua pesa naenda kuongeza magari huo ndio utakatishaji. Wengine ongezeeni
 
Back
Top Bottom