Utakatishaji Fedha, Biashara inayoendelea kwa Siri kubwa

Utakatishaji Fedha, Biashara inayoendelea kwa Siri kubwa

Kwanini? Huyu ndo mtakashaji mkubwa kuliko wote?

Hapana. Mfano mwanasiasa kauza twiga billioni moja uarabuni. Hizo hela atashikiwa akiwanazo anaziweka mahali azitakatishe. Anaweza akaenda kwa mfanyabiashara wa mabasi. Akaununua mabasi kwa jina la mtu yule hata kumi. Wewe ukiamini ni mabasi ya mtu fulani kumbe sio
Naona hapo sio sahihi huwezi kuuza nyara za serikali wazi wazi, na pesa inaenda kwenye hazina, ungesema rushwa ambae amepewa kwa kuruhusu hiyo biashara ifanyike,.........kama hicho ndo kigezo chako cha ukatishaji wa fedha huujui neno money laundering ni nini?
 
Bila kusahau na vyama vya political party's pesa Huwa wanatoa wapi na wanazitumiaje, list ni ndefu mno. Tuendelee kuishi kwa amani TU 😂
 
Matajiri walikunyima kibarua leo umeamua kuwaponda eti watakatishaji njoo tukupe kazi ya kuzoa taka na kulisha paka wivu utakuishia
 
Matajiri walikunyima kibarua leo umeamua kuwaponda eti watakatishaji njoo tukupe kazi ya kuzoa taka na kulisha paka wivu utakuishia
Matajiri wanampima Imani yake kwanza, kama ni mstahimilivu
 
Matajiri walikunyima kibarua leo umeamua kuwaponda eti watakatishaji njoo tukupe kazi ya kuzoa taka na kulisha paka wivu utakuishia
Hahaha boss alichoongea kina ukweli Mimi katika harakati zangu kuna Tajiri mmoja nilikua nafanya nae kazi alichokua anakifanya ilibakia kidogo tu nimchome Ila nikakumbuka ule msemo wa Wahuni wa Masela wote peponi walisema "Ukiona kausha" Ila ilibakia kidooogo nimchepe na yule Tajiri ana Pesa Ila Pesa zote anatakatisha, anatakatushaje hio sikwambii
 
Hahaha boss alichoongea kina ukweli Mimi katika harakati zangu kuna Tajiri mmoja nilikua nafanya nae kazi alichokua anakifanya ilibakia kidogo tu nimchome Ila nikakumbuka ule msemo wa Wahuni wa Masela wote peponi walisema "Ukiona kausha" Ila ilibakia kidooogo nimchepe na yule Tajiri ana Pesa Ila Pesa zote anatakatisha, anatakatushaje hio sikwambii
Mkuu 😂
 
Hahaha boss alichoongea kina ukweli Mimi katika harakati zangu kuna Tajiri mmoja nilikua nafanya nae kazi alichokua anakifanya ilibakia kidogo tu nimchome Ila nikakumbuka ule msemo wa Wahuni wa Masela wote peponi walisema "Ukiona kausha" Ila ilibakia kidooogo nimchepe na yule Tajiri ana Pesa Ila Pesa zote anatakatisha, anatakatushaje hio sikwambii
Sasa kwani ni matajiri wote na wewe hujawahi kuiba
 
Asichokijua mtoa mada ni kuwa mtu anae takatisha pesa hawezi kujipost na pesa zake wala kununua magar ya kifahari kama hawa aliwao wataja na akifanya hivyo ni rahis kukamatwa kinachotakiwa ni kuiingiza pesa ya haramu kwenye mzunguko wa halali bila kushtukiwa na vyombo vya usalama, sasa kama utamlipa msanii milion 300 si ushajifichua hapo? Wewe fikiria njia ambayo utaingiza pesa ya haram kweny mzunguko wa halali na ikaendelea kuleta faida pasi na kugundulika na vyombo vya usalama.
 
Sasa kwani ni matajiri wote na wewe hujawahi kuiba
Ebana E yule Tajiri anatakatisha kinoma noma mpaka balaa nikikwambia anachofanya unaweza ukadata halafu naweza nikawa nimegawa faili lake humu akaanza kufuatiliwa
 
Back
Top Bottom