Mbona hayana uwiano hayo, na utakatishaji pesa.......Casinos na makampuni ya michezo ya kubashiri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona hayana uwiano hayo, na utakatishaji pesa.......Casinos na makampuni ya michezo ya kubashiri
Chifu usilolijua ni sawa na USIKU WA GIZAMbona hayana uwiano hayo, na utakatishaji pesa.......
Nielezee tu nijue mkuu mimi nimwepesi wa kuelewa,Chifu usilolijua ni sawa na USIKU WA GIZA
nasikitika umechelewa kujua lakini pia nakupa hongera kwa kujua.Habari wadau!
Naenda kwenye hoja moja kwa moja kwenye hoja.
Ki ukweli utakatishaji fedha ni biashara ambayo ipo kwa siri sana.
Usione mtu anajipost na rundo la hela na hana kazi yeyote akasema yeye ni free mason ukaamini we ni mjinga hata serikali ina ujinga flani.
Kuna watu wana hela Dunian hapa hela chafu ambayo inahitaji kuwa katika system sehemu sahihi ya kutakatisha ni Africa.
Usione msanii analipwa milioni 300 ya kibongo kwa shoo ya watu 20 uko nje ukasema amepata bingo.
Leo hii kuna companies wanakopesha hela kisa una Nida Number siamini kama kweli wanapata faida.
Wachungaji feki wa kutosha wana hela hatari. Ukiuliza wanauza maji na mafuta au baraka ndo wanapata hizo hela.
Jichanganye ukiamini utatoboa kama hamna source ya hizo hela.
Watakatishaji fedha wakubwa duniani ni
1. Drug dealers.
2. Wanasiasa
3. Wafanyabiashara.
4. Wanamichezo.
5. Wasanii. ( wanamuziki na wacheza filamu.)
6. Kamali.
Ongeza yako unayoyajua katika hili!!!!!!
Wachungaji na mashekhe baadhi yao wanauza kabisa dope Yan 😲Umesahau "wachungaji"
duh huenda sio kosa lako hujui maana ya money laundering cycle ilivyo ndio maana ukahusisha na udokozi. money laundering sio udokozi.Kwahiyo wewe hujawahi kudokoa hata nyama!
Wewe naye ni mwenzake akili huna hapo nimesemea mfanoduh huenda sio kosa lako hujui maana ya money laundering cycle ilivyo ndio maana ukahusisha na udokozi. money laundering sio udokozi.
Kwanini? Huyu ndo mtakashaji mkubwa kuliko wote?Drug dealer hatakiwi kuwepo hapa
Hapana. Mfano mwanasiasa kauza twiga billioni moja uarabuni. Hizo hela atashikiwa akiwanazo anaziweka mahali azitakatishe. Anaweza akaenda kwa mfanyabiashara wa mabasi. Akaununua mabasi kwa jina la mtu yule hata kumi. Wewe ukiamini ni mabasi ya mtu fulani kumbe sioKwahiyo fisadi moja serikalini akinunua ma basi ya abiria kutokana na pesa ya rushwa au hongo huo ni utakatishaji wa pesa??
Well said mkuu.Wasanii music, films kuchora and other athelitic, mpaka viwanda vidogo vidogo, na bila kusahau microfinance,vikoba huku ndiko pipeline kabisa😂. charity organizations list ni ndefu sana .
Lakini cha msingi amani iwepo tuendelee kuhudumia families
Tafuta pesa wivu utaisha bila pesa utakuwa mchawiNa pesa ya hatari mkuu.