Utakatishaji Fedha, Biashara inayoendelea kwa Siri kubwa

Utakatishaji Fedha, Biashara inayoendelea kwa Siri kubwa

Habari wadau!

Naenda kwenye hoja moja kwa moja kwenye hoja.

Ki ukweli utakatishaji fedha ni biashara ambayo ipo kwa siri sana.

Usione mtu anajipost na rundo la hela na hana kazi yeyote akasema yeye ni free mason ukaamini we ni mjinga hata serikali ina ujinga flani.

Kuna watu wana hela Dunian hapa hela chafu ambayo inahitaji kuwa katika system sehemu sahihi ya kutakatisha ni Africa.

Usione msanii analipwa milioni 300 ya kibongo kwa shoo ya watu 20 uko nje ukasema amepata bingo.

Leo hii kuna companies wanakopesha hela kisa una Nida Number siamini kama kweli wanapata faida.

Wachungaji feki wa kutosha wana hela hatari. Ukiuliza wanauza maji na mafuta au baraka ndo wanapata hizo hela.

Jichanganye ukiamini utatoboa kama hamna source ya hizo hela.

Watakatishaji fedha wakubwa duniani ni


1. Drug dealers.
2. Wanasiasa
3. Wafanyabiashara.
4. Wanamichezo.
5. Wasanii. ( wanamuziki na wacheza filamu.)
6. Kamali.

Ongeza yako unayoyajua katika hili!!!!!!
nasikitika umechelewa kujua lakini pia nakupa hongera kwa kujua.
 
Wasanii music, films kuchora and other athelitic, mpaka viwanda vidogo vidogo, na bila kusahau microfinance,vikoba huku ndiko pipeline kabisa😂. charity organizations list ni ndefu sana .

Lakini cha msingi amani iwepo tuendelee kuhudumia families
 
Wamaskini kwa kujifariji!
Mtu akitoboa tu ni freemason au mtakatishaji fedha!
Tafuta pesa uwe na akili bila pesa huwezi kuwa na akili utakuwa lijinga maisha yote
 
Drug dealer hatakiwi kuwepo hapa
Kwanini? Huyu ndo mtakashaji mkubwa kuliko wote?
Kwahiyo fisadi moja serikalini akinunua ma basi ya abiria kutokana na pesa ya rushwa au hongo huo ni utakatishaji wa pesa??
Hapana. Mfano mwanasiasa kauza twiga billioni moja uarabuni. Hizo hela atashikiwa akiwanazo anaziweka mahali azitakatishe. Anaweza akaenda kwa mfanyabiashara wa mabasi. Akaununua mabasi kwa jina la mtu yule hata kumi. Wewe ukiamini ni mabasi ya mtu fulani kumbe sio
 
  • Thanks
Reactions: I M
Wamaskini kwa kujifariji!
Mtu akitoboa tu ni freemason au mtakatishaji fedha!
Tafuta pesa uwe na akili bila pesa huwezi kuwa na akili utakuwa lijinga maisha yote
Na pesa ya hatari mkuu.
 
Wasanii music, films kuchora and other athelitic, mpaka viwanda vidogo vidogo, na bila kusahau microfinance,vikoba huku ndiko pipeline kabisa😂. charity organizations list ni ndefu sana .

Lakini cha msingi amani iwepo tuendelee kuhudumia families
Well said mkuu.
 
Like shindano la juzi la kukari unajua pesa zake zimetoka wapi kupitia benki gani , na zimetumikaje?.

Kuelekea uchanguzi noti bandi Huwa Zina zagaa sana mitaani, je nu nani anezisambaza😂?,
Nchi masiki na money laundering ni vidole viwili vya chadema.
 
Back
Top Bottom