Utakatishaji Fedha, Biashara inayoendelea kwa Siri kubwa

Utakatishaji Fedha, Biashara inayoendelea kwa Siri kubwa

Asichokijua mtoa mada ni kuwa mtu anae takatisha pesa hawezi kujipost na pesa zake wala kununua magar ya kifahari kama hawa aliwao wataja na akifanya hivyo ni rahis kukamatwa kinachotakiwa ni kuiingiza pesa ya haramu kwenye mzunguko wa halali bila kushtukiwa na vyombo vya usalama, sasa kama utamlipa msanii milion 300 si ushajifichua hapo? Wewe fikiria njia ambayo utaingiza pesa ya haram kweny mzunguko wa halali na ikaendelea kuleta faida pasi na kugundulika na vyombo vya usalama.
Mtoa mada ana njaa ana hasira na matajiri
 
Kwa vile ni jambo la haramu na linafanyika kwa usiri mkubwa, hatuwezi kujua wahusika wakuu ni kina nani
 
Kwenye kutakatisha pesa Kuna nchi ziko soft kidogo Kama mtu anatumia pesa ndani ya nchi kunyanyua uchumi wa nchi mfano ni Kenya .Kenya hugombana na kuchukua hatua Kali kwa watakatisha fedha wanaohamisha pesa kwenda nje ila kwa wawekezaji wanaowekeza ndani huwa Sio wakali Sana.Hili la utakatishaji fedha linahitaji nchi za kiafrika kuliangalia Mara mbili nitoe mfano.Pesa nyingi zinaondoka Afrika kwenda mabenki ya Ulaya ,kununua majumba ulaya nk mipesa kama ya viongozi wa kisiasa Akina Abacha nk Huwezi sikia wazungu hao wanakomalia utakatishaji pesa huo.Ila pesa zikitoka kwao kuja Africa wanataka kila pesa inayotoka kwao itolewe maelezo imetokana na Nini? Kifupi wanadhibiti pesa zao kuja Africa wakati wakiacha mlango wazi wa pesa za Afrika kwenda nje kwenye nchi zao bila maswali.Hii Vita ya kupambana na utakatishaji fedha Ni kubwa Afrika kuliko Ulaya na Marekani!!! Ni vizuri tuwe makini.Mfano kuna biashara zingine hufanyika kwa Mali kauli hasa zinazohusu biashara ya kuagiza bidhaa nje.Mtu analetewa mzigo bila kulipa hata Mia akiuza ndio analipa kwa aliyempa mzigo nk Nadhani twende taratibu tusije ua ukuaji wa uchumi wa ndani .Ni maoni yangu.

Kutakatisha pesa ndani ya nchi kunaongeza mzunguko wa hela

Wenzetu utakatishaji wa pesa wanaukubali sana katika nchi zao
Kama watakatishaji wanatoka nazo nje na kuja kuwekeza ni sawa
Wazungu wamekubali (watake wasitake) kuwa wachina na Russians na hata waarabu waingize pesa zao na kununua majengo na mashirika na hata kuingiza kwenye hisa.
Hawahoji mtu katoa wapi hela
Ila sisi utakasishaji wetu ni hela za ndani na mali ya ndani ndio zinaibiwa halafu kuzihalalisha nchini na hii ni mbaya sana kwa uchumi.

Mtu anaiba billions nchini halafu anaingiza hela zake kwenye kampuni haina afya kiuchumi kwani ni za ndani.
 
Ebana E yule Tajiri anatakatisha kinoma noma mpaka balaa nikikwambia anachofanya unaweza ukadata halafu naweza nikawa nimegawa faili lake humu akaanza kufuatiliwa
Sasa si maisha yake wewe yanakuhusu nini usikute na tajiri yako sio mtakatishaji unasingizia tu kwakuwa amekuzidi mbali tafuta pesa uwe na akili
 
Kutakatisha pesa ni kitendo cha kuchukua pesa iliyopatikana kwa njia haramu(madawa, wizi,utapeli etc)kisha kuiingiza kwenye mfumo,biashara halali inayotambulika kisheria.

Mfano labda tuseme mimi ninafanya biashara ya madawa ya kulevya, pesa nitakayoipata baada ya kufanya biashara ya madawa ya kulevya niende nikafungue showroom ya kuuza magari, so kila ninapouza madawa nachukua pesa naenda kuongeza magari huo ndio utakatishaji. Wengine ongezeeni
Kwahyo kwenye financial statements cash flow inaonekanaje? Especially inflow?
 
Nenda www.google.com
Kisha andika neno,"money laundering " fungua link ya wikipedia kisha uje utupe umbea sasa.. ila kwa hili... uwongow
 
Asichokijua mtoa mada ni kuwa mtu anae takatisha pesa hawezi kujipost na pesa zake wala kununua magar ya kifahari kama hawa aliwao wataja na akifanya hivyo ni rahis kukamatwa kinachotakiwa ni kuiingiza pesa ya haramu kwenye mzunguko wa halali bila kushtukiwa na vyombo vya usalama, sasa kama utamlipa msanii milion 300 si ushajifichua hapo? Wewe fikiria njia ambayo utaingiza pesa ya haram kweny mzunguko wa halali na ikaendelea kuleta faida pasi na kugundulika na vyombo vya usalama.
Genius
 
Inawezekana umeandika vizuri ila ni vile pengine somo la utakatishaji pesa ni somo linalotuchanganya wengi especially mimi so naomba kidogo ufanye connection ya utakatishaji pesa na hii hoja yako kwa maana bado nipo naelea elea tu mkuu.

Nataka nijifunze na niondoe huu mkanganyiko kupitia huu uzi.
Mfano msani A ameenda kufanya shoo. Mtu anataka kumtumia kitakatisha fedha. Huyo mtu atamlipa kiasi cha fedha labda bilioni mbili ambazo kimsingi hazilingani na thamani ya shoo hiyo.
Hiyo bilioni mbili ni fedha chafu. Kwahiyo ataingiza kwenye akaunti ya msani A. So hela itaingia benki( mfumo rasmi wa fedha) hapa tayari fedha chafu imeingia kwenye mfumo Ili iwe safi. Baada ya muda msani yule ataenda kwa mfano kununua apartment, mabasi ya biashara, malori na kadharika kutokana na fedha Ile na ikiwa imetokea benki. Hapa fedha tayari imetakakata na imeingia kwenye mzunguko rasmi. Sasa kwenye kununua vitu hivyo wao msani A na mhusika watajua wanafanyaje.
 
Na makanisa na watu wa huduma za kiroho wanatumiwa sana katika utakatishaji fedha...
 
Nimekuja kujua concept ya utakatishaji fedha baada ya kusikiliza mkasa wa HUSH PAPI aisee kama ni kweli yule bwana ni balaa
 
Back
Top Bottom