abuumwasiti20
JF-Expert Member
- Oct 19, 2016
- 287
- 352
Kazi IPO....Wakilo msomi wanajiita walioenda school of law,....hawa wenye degree peke yake huwa hawaitwi ivooo,ni maneno mpito kama walimu wa kk
Sio kila kesi lazima umtumie wakiliFanya uhalifu ukipelekwa mahakamani ndio utamjua huyo Wakili msomi
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Nachosema Mimi sio kuwa hao mawakili wanazijua hizo taaluma Bali hao mawakili wanachokijua ni kuhusisha tatizo lilijitokea au kosa au tukio na sheria tu ili kumtetea mteja wake.au kama mwendesha mashtaka basi kutia hatiani.Mkuu hebu rudia kusoma maelezo yangu utanielewa. Mwanasheria hajui uhasibu, madawa, sijui makitu gani, lakini ukipeleka tatizo lolote linalotoka katika taaluma yoyote wanasheria wanashughulika nalo
Juu huyu anaesema RUBISh, au ripoti ni upuuzi mtupu ana sifa za kuwa wakili msomi?Niliwahi kusoma mahala, hii sio Tanzania tu, ni Dunia nzima kwa wanasheria kuitwa au kujiita wasomi au Learned brothers/sisters.
1. Mawakili wanapokua mahakami na wakawa wanabishana kwa hoja, wakili mmoja haweza kumpinga mwenzake kwa kumuita mjinga au mpumbavu, hapana anatakiwa hata kama hoja ya wakili wa upande wa pili ni ya kijinga, anatakiwa kusema wakili msomi mwenzangu hapo napingana na wewe hivi na hivi na sio kutumia maneno mabaya au majina mabaya katika kupinga hoja. Yani hutakiwi kumuonyesha mtu ni mjinga moja kwa moja, unampaka mafuta kwa mgongo wa chupa. Kwamba kama mtu ni mjinga usimwambie wewe ni mjinga, mwambie tu brother uwezo wako wa kukubali mambo unashuka ndugu yangu(your level of appriciating things is diminishing)
2. Mawakili au wanasheria wanafundishwa kumshitaki au kumtetea yoyote kutoka katika taaluma yoyote ile, iwe unatoka uhasibu, sheria, uchumi, uinjinia, sayansi, udaktari, wizi, ujambazi, ulawiti, ubakaji, urubani, fani zote.
Hivyo wanajiona kua wanajua mambo karibu yote kama sio yote kwa ujumla yaliyo chini ya jua. Ndio maana huwezi kupeleka kesi mahakamani ya udaktari hakimu akakuambia kua bwana sisi sio madaktari hivyo hiyo kesi haitasikilizwa, hapana , wataipokea na kuisikiliza hadi mwisho na hukumu itatolewa utafikiri wao wanajua udaktari.
Kwa mantiki hiyo wanasheria toka zamani wamekua wakiona fani nyingine kama fani za kiwango cha chini na kijiona wao ni bora na ni wasomi kuliko wengine.
Mkuu somo la mantiki(logic) hukupata kulisoma?This is a big lie...kwahiyo nikuletee tatizo la bridge failure wewe kama mwanasheria utanipa jibu? Huko ni kujikweza bila sababu za Msingi.
Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
Kwanini bridge failure iwe ni tatizo la mkandarasi peke yake? How did you arrive to that fact? Ndio maana nasema tuache kujikweza. Professional zote zinahitajiana. Iweje lawyers pekee ndio wawe wanajua vyote?Mkuu somo la mantiki(logic) hukupata kulisoma?
Maana inawezekana sio tatizo lako kuelewa ila ukawa na tatizo la shule ndogo(little learning).
Labda nikusaidie kuelewa. Tatizo la bridge failure kama wewe ni mkandarasi na ukajenga daraja kisha ukakabidhi alafu likabomoka, mamlaka zilizokupa hiyo kazi zikakupeleka mahakamani lazima utapeleka hilo tatizo kwa mwanasheria.
Hivyo matatizo yako yote yatakayotokana na fani yako ya civil engineering ikitokea ukapelekwa mahakamani lazima upeleke kwa mwanasheria.
Mkuu rudi shule usome somo la Logic.
Aisee,Kwanini bridge failure iwe ni tatizo la mkandarasi peke yake? How did you arrive to that fact? Ndio maana nasema tuache kujikweza. Professional zote zinahitajiana. Iweje lawyers pekee ndio wawe wanajua vyote?
Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
Wewe ni lawyer ila nina shaka kukariri historia kumekuchanganyaAisee,
Kwa hiyo mzee daraja likijengwa likadondoka au ghorofa likijengwa kabla hata halijaisha likadondoka likaua watu au kuleta madhara atawajibishwa mhasibu au mlinzi au mwanasheria?
Unakumbuka miaka michache iliyopita ghorofa moja likidondoka hapo kariakoo karibu na mnazi mmoja, aliewajibishwa ni nani?
mwenyewe umeniacha njia pandaTeh naona Jf wameamua kutuumbua tunaotumia tecno halafu kwenye uzi wa tecno tunapondea kinyama..... Hiyo ndio tofauti ya usomi sijui umenielewa
"Sent from Tecno whatever "
hujamuelewaPamoja na Maelezo yako mazuri tu lakini si kweli kuwa fani ya sheria ndiyo kujua Fani zingine si kweli Hata kidogo.
Mwanasheria hawezi kujua medicine, accounts, engineering n.k.
Sana sana yeye ana base kwenye incident in relation to laws basi ili kapata u kweli wa jambo au tukio.
Hujielewi wewe,Ole sendeka mwanaye ni wakili na kasoma makumira,Kaja hapa tumemwapisha na anafanya kazi ya uwakili.
Hili neno ni rasmi tangu enzi na enzi,Huwezi acha tambua mchango wa wanasheria,Hawa watu wamesoma na kila sikubya mausha yao wanasoma.
Advocates wanajua kila nyanja,Hesabu,Mekanika,siasa,Lugha,Sanaa na etc ndio maana wanaitwa mawakili wasomi.
Wanaitwa WASOMI kwa sababu wana UWEZO wa kutetea MAFISADI katika mahakama na KUSHINDA kesi kwa kutumia VIFUNGU vya sheria vilivyopo NCHINI....Neno Wakili Msomi naona linaenea kwa kasi kubwa huwa sielewi lina maanisha nini linapotumika hasa hasa na Watangazaji wetu wa vyombo vya habari! nikijua kabisa huwezi kuwa wakili kama sio mwanasheria ambaye ni msomi.
Na kila fani kwa waliokwenda shule hasa level za chuo kikuu huwa ni wasomi.
Sasa kwanini wanaitwa Wakili Msomi je Kuna wakili asiye msomi au??
Mimi si mwanasheria!!
Na hili unalosema linawezekana hapa! Kwa maana kwa simple logic tu hapa, unaposema wakili msomi basi kuna madaraja ya mawakili wasomi na ambao sio wasomi. Na kama hamna madaraja hayo basi kila wakili ni msomi na kama kila wakili ni msomi basi hakuna haja ya kutanguliza neno "msomi" kwenye kumuita wakili.Isijekuwa waasisi wa matumizi ya maneno hayo ya "wakili msomi" wakawa ni wafuasi au mashabiki wa wabunge wanasheria au mawakili hasa wale wanaokuwa wanatetea kwenye kesi zinazohusu vyama vya upinzani wa kisiasa kutokana na uzito wa hoja zao bungeni au mahakamani?
Inaonekana wewe ni mwanasheria maana unaulizwa maswali wewe unatafuta ushahidi jibu swali mkuuWewe ulisikia nani ameitwa Wakili msomi?
Kabisa kabisa anatafuta ushahidi tu na Mimi sijampa kwasababu najua hilo neno analisikia.Na Jana tu nimelisikia redio clouds FM kipindi cha michezo usiku.Inaonekana wewe ni mwanasheria maana unaulizwa maswali wewe unatafuta ushahidi jibu swali mkuu
Mwanasheria hatumii elimu ya uhandisi hapo bwana baada ya daraja kuanguka.Mkuu somo la mantiki(logic) hukupata kulisoma?
Maana inawezekana sio tatizo lako kuelewa ila ukawa na tatizo la shule ndogo(little learning).
Labda nikusaidie kuelewa. Tatizo la bridge failure kama wewe ni mkandarasi na ukajenga daraja kisha ukakabidhi alafu likabomoka, mamlaka zilizokupa hiyo kazi zikakupeleka mahakamani lazima utapeleka hilo tatizo kwa mwanasheria.
Hivyo matatizo yako yote yatakayotokana na fani yako ya civil engineering ikitokea ukapelekwa mahakamani lazima upeleke kwa mwanasheria.
Mkuu rudi shule usome somo la Logic.
Rudia kusoma nilichokiandika na majibu yako.Mwanasheria hatumii elimu ya uhandisi hapo bwana baada ya daraja kuanguka.
Atatumia elimu ya sheria na makosa kusaidia mkandarasi asiingizwe ktk hatia.
Mwanasheria atakachokifanya hapo ni kuangalia je taratibu zilifuatwa na nani hakufanya wajibu wake.
Lakini eti mwanasheria kujua chemistry ya mortar kwa ratios si rahisi.