Simba mundu
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 767
- 1,058
Umekarir vibaya ushamba wa kushangaza,hata kumteka mtu na kumshambulia Kwa risas Kwa kua hawazi kama ww unavyowaza ni ushamba piaUshamba ni ile hali ya kushangaa jambo ambalo wenzako wanaliona ni la kawaida tu,ila na wewe ukilizowea basi ule ushamba wako unakua umeishia hapo,
So,kila mtu anaweza kua mshamba kutokana na mazingira husika aliyopo wakati huo au kua na aina ya watu au jamii fulani kwa wakati huo.
kwanini?Huko siji
Ila kuisifia Simba ndo ushamba zaidiKuisifia timu ya Yanga kwamba ni bora kuliko SIMBA😂
nyie nivibondeTambeni Leo
Vp kuhusu p.diddyKujisifia ngono, pombe na mambo ya kufira huwa naona huyo si mshamba yani huyo ni MPUMBAVU wa kiwango cha juu.
binti mshamba wewe hupendi hela.Kujisifu una mali, hasa nyie wanaume mkishaona tunawachomolea mnaleta ushamba wa kuongelea mambo ya pesa/vyeo kwenye simu.
Mtu wa hivyo namdharau kinoma.
Laki 3 simu gani nzuri?Zipo simu nzuri za laki3 tu unanunuaje simu za ajabu
Yaan CCM na PoliCCM hujawaacha salama?12. Kuiba kura ni ushamba
Akudhulumu Imani ya watu Kwa kiongozi wao na kumleta kiongozi asiyetakiwa ni ushamba pia
kiherehere kimekuishaNiseme Nini tena