Utani wa watu ninaoupenda hapa JF pamoja na watu na mada utakazowakuta

na kwako pia mkuu .
 
Nnachoweza kusema hapo.....
ephen_ asije kujichanganya kwa Lucas Mwashambwa atavalishwa vijora vya kijani mwanzo mwisho....
Evelyn Salt Naomba Niachie ephen maana huwa sipendi mtu amtishe wala kumpa hofu. Nipo tayari kutukanwa matusi yote na kupigwa sana lakini moyo wangu utajaa furaha na kuchanua kama ua lililo kando kando ya mto nikiona ephen anayo furaha.
 
Kweli Lucas ana Roho ngumu,

Ila saiz amemsaliti mamake wa kufikia baada ya Kijana RC kupandisha dau!!😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…