Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Nitakua na mat-shirt ya CCM kila leoNnachoweza kusema hapo.....
ephen_ asije kujichanganya kwa Lucas Mwashambwa atavalishwa vijora vya kijani mwanzo mwisho....
na kwako pia mkuu .kwahiyo Eid umeamua kuisherehekea kwa kutajataja majina tu, kwa mistari isiyo na vina? 🐒
kama sehemu ya familia ya waTanzania hapa JF, nawatakia nyote Heri, Baraka na Neema Tele za Mungu, katika kusheherekea sherehe hii muhimu sana ya Eid. Na ikawe sherehe Tulivu na ya Amani kwenu nyote, Aimen 🐒
Pamoja sana mpambanaji 👊na kwako pia mkuu .
Evelyn Salt Naomba Niachie ephen maana huwa sipendi mtu amtishe wala kumpa hofu. Nipo tayari kutukanwa matusi yote na kupigwa sana lakini moyo wangu utajaa furaha na kuchanua kama ua lililo kando kando ya mto nikiona ephen anayo furaha.Nnachoweza kusema hapo.....
ephen_ asije kujichanganya kwa Lucas Mwashambwa atavalishwa vijora vya kijani mwanzo mwisho....
Evelyn Salt Naomba Niachie ephen maana huwa sipendi mtu amtishe wala kumpa hofu. Nipo tayari kutukanwa matusi yote na kupigwa sana lakini moyo wangu utajaa furaha na kuchanua kama ua lililo kando kando ya mto nikiona ephen anayo furaha.
Kenge maji mwenye ukubwa wa manusu🤣😆😅 we utajiri ushaukosa
Nime wataja kwa wema Kaka😆🤣😃😃😃Shida nini kwan au umeanza mabange kama maghayo
Kweli Lucas ana Roho ngumu,😂😂😂😂mimi sijui watu huwa wanachukuliaje lakini yote kwa yote Lucas ana roho ngumu sana. Wengi hawapendi maandishi yake lakini akianzisha nyuzi yake watu wanajazana .
Huwa ninafurahi sana akianza kujibu watu.
Kaka Lucas Mwashambwa huwa anapokea sapoti kutoka kwa MamaSamia2025 Tlaatlaah Etwege 😂😂hilo ni chama lake.
Ila kuna upinzani akishafika Bams Rabbon Erythrocyte hapo mada lazima ichangamke😂😂😂 aisee hawa watu ni burudani sana hapa JF.
Unabubujikwa machozi ya furaha kumuona ephen ana furahaEvelyn Salt Naomba Niachie ephen maana huwa sipendi mtu amtishe wala kumpa hofu. Nipo tayari kutukanwa matusi yote na kupigwa sana lakini moyo wangu utajaa furaha na kuchanua kama ua lililo kando kando ya mto nikiona ephen anayo furaha.
CCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavuHasa CHADEMA
Ona sasa umetoroka Mirembe bila kumaliza matibabu na kujiona umepona ukichaa wako halafu unaanza kuja humu kujidhalilisha na unyumbu wako.CCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavu
Lucas unajua kunifurahisha kudadeq😂Evelyn Salt Naomba Niachie ephen maana huwa sipendi mtu amtishe wala kumpa hofu. Nipo tayari kutukanwa matusi yote na kupigwa sana lakini moyo wangu utajaa furaha na kuchanua kama ua lililo kando kando ya mto nikiona ephen anayo furaha.
Aa shemeji lazima mdogo wangu Makonda akuoe.Ona sasa umetoroka Mirembe bila kumaliza matibabu na kujiona umepona ukichaa wako halafu unaanza kuja humu kujidhalilisha na unyumbu wako.
Jela kukoje kijana naona mods walikupeleka segerea kwa mudaKenge maji mwenye ukubwa wa manusu🤣😆