UTAPELI: Hayawi hayawi sasa yamekua: Tayari LBL kimewalamba

Your browser is not able to display this video.
 
Tupe connection tujiunge nasisi kitapeli.
 
Na ndio maana chukuwachakomapema mapema wanatupatia!
Simba na Yanga.....
Vikofia, khanga, mashati, pilau, vi alfu kumi, rushwa, uchawa usio kifani!
Masherehe, kusifiana kukicha, nk nk
Huku nyuma wanauza rasilimali na maliasili KIULAINI!
Wanapiga hela za mlipa kodi bila wasiwasi, kifupi nakubaliana nawe, siye WADANGANYIKA NI MAITI!
 
Soma hiyo
 

Attachments

  • IMG-20250216-WA0001.jpg
    66.3 KB · Views: 2
WATU BDO WANAENDELEA KUVUTA MPUNGA HYO TAARIFA YA UONGO UMEPATA WAPI? ACHENI WIVU
 
Wajinga wengi sana
Na ukitaka upige hela wekeza kwa wajinga...maana wako wengi sana
Unajiokotea tu

Ova
 
Siku CCM ikiondolewa madarakani ujue hao watanzania walio wengi wana akili!
 
Alafu watu wa LbL wote wana kauli moja ukimwambia kaka noma huko utasikia " TUNAPIGA HELA BALAA, AU MTAJI WANGU USHARUDI NAPIGA FAIDA TU" mamaqe inaingia akilini utumie vijivideo ukitazama ulipwe🤣🤣🤣
Afrika ni tatizo sana , unamuingiza mtu unapata commission ya 10% unasema eti unapiga hela ni ujinga . Haya ndio hupelekea watu kuuza waafrika wenzao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…