ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Anasema wiki iliyoisha alitaka kutoa ikakataa, jana wameambiwa level 3 wakatoe leo.Ali withdraw siku gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anasema wiki iliyoisha alitaka kutoa ikakataa, jana wameambiwa level 3 wakatoe leo.Ali withdraw siku gani?
Hawa na wanaochota petrol kwenye magari yanayopata ajali hawana tofauti. Wanaungua kila mara lakini yakianguka tuu utawaona na madumu mbio.Niliandika hapa uzi mwezi 11 mwaka Jana 2024 nikiwajuza watu juu ya viashiria vya utapeli wa LBL watu wakanipurua kinyama nikaandika tena mwezi wa 1 mwaka huu 2025 kua watu watoe fedha zao Hilo Ponzi scheme linaenda kuanguka nikashambuliwa tena.
Haya sasa Kiko wapi ?! Hamuwezi tena kutoa fedha Kuna taarifa baadhi ya ofisini zimefungwa, viongozi namba hazipatikani app imeanza kuwatema wadau mmoja baada ya mwingine, unajua huenda Tanzania ndio nchi wenye watu wajinga zaidi duniani. Hasa wanawake Yani wanawake wa kitanzania ni wajinga alafu wabishiiiiii, Kuna mmoja kutwa kucha alikua ananiandama ati nijiunge.
Sio kwamba nchi nyingine hakuna utapeli laa hasha, lakini kuwatapeli waTanzania ni RAHISI SANA hata utapeli wa wazi wazi utawapata tu wakuwatapeli.
Na hata baada ya hii LBL litakuja Ponzi scheme jingine na WENGI watatapeliwa na lingine litakuja na WENGI zaidi watatapeliwa.
Mtu Fulani aliwahi kusema raia wa Tanzania ni maiti ukitulia ukatafakari hamuwezi kumlaumu sana
Usisahau kurudi kutoa mrejeshoNgoja kesho ni withdraw ikifeli ndio nitaamini
Kumbe kuna level ? Yan sio kama una hela mpesa unaenda kutoa tu ? AiseeAnasema wiki iliyoisha alitaka kutoa ikakataa, jana wameambiwa level 3 wakatoe leo.
Na bado haamini kama katapeliwa, amekua mkali kama pilipili.Kumbe kuna level ? Yan sio kama una hela mpesa unaenda kutoa tu ? Aisee
Wanakuaga hivyo hivyo, ili upate hela lazima ufanye kaziNa bado haamini kama katapeliwa, amekua mkali kama pilipili.
Mzee wa vi scarf vya bendera akiwa ni mnufaika mkuu wa kwanzaKuna watu huko juu ni wanufaika wa kinachoendelea.
Kwan huna akili?Afrika ni tatizo sana , unamuingiza mtu unapata commission ya 10% unasema eti unapiga hela ni ujinga . Haya ndio hupelekea watu kuuza waafrika wenzao
Kausha kausha usipige keleleMzee wa vi scarf vya bendera akiwa ni mnufaika mkuu wa kwanza
Awali ilikuwa unatoa muda wowote, sasa inafikia ukingoni ndio wakaanzisha kutoa kwa level nadhani ilianza wiki iliyopita.Kumbe kuna level ? Yan sio kama una hela mpesa unaenda kutoa tu ? Aisee
Ukingoni kivipi, siwamesema 18k unaingiziwa kila siku kwa mwakaAwali ilikuwa unatoa muda wowote, sasa inafikia ukingoni ndio wakaanzisha kutoa kwa level nadhani ilianza wiki iliyopita.
✋Wazee wa Pi network tupungiane mikono.. tarehe 20 ndo kesho mapema tu!
Naipaka mafutaHaiingii hata ikipakwa mate
Na hapo ataambiwa ni matatizo ya kiufundi, wataalamu wapo kulishughulikia mambo yatakaa sawa 😂Kaka umeshaenda kuwithdraw? Asubuhi hii ndo nimejua kaka angu aliweka laki 5 tokea wiki iliyoisha hela haitoki.
Kasema sijui mmeambiwa mkatoe leo
Malipo yapo kwenye process.... TulieniUsisahau kurudi kutoa mrejesho