UTAPELI: Hayawi hayawi sasa yamekua: Tayari LBL kimewalamba

UTAPELI: Hayawi hayawi sasa yamekua: Tayari LBL kimewalamba

Niliandika hapa uzi mwezi 11 mwaka Jana 2024 nikiwajuza watu juu ya viashiria vya utapeli wa LBL watu wakanipurua kinyama nikaandika tena mwezi wa 1 mwaka huu 2025 kua watu watoe fedha zao Hilo Ponzi scheme linaenda kuanguka nikashambuliwa tena.

Haya sasa Kiko wapi ?! Hamuwezi tena kutoa fedha Kuna taarifa baadhi ya ofisini zimefungwa, viongozi namba hazipatikani app imeanza kuwatema wadau mmoja baada ya mwingine, unajua huenda Tanzania ndio nchi wenye watu wajinga zaidi duniani. Hasa wanawake Yani wanawake wa kitanzania ni wajinga alafu wabishiiiiii, Kuna mmoja kutwa kucha alikua ananiandama ati nijiunge.

Sio kwamba nchi nyingine hakuna utapeli laa hasha, lakini kuwatapeli waTanzania ni RAHISI SANA hata utapeli wa wazi wazi utawapata tu wakuwatapeli.

Na hata baada ya hii LBL litakuja Ponzi scheme jingine na WENGI watatapeliwa na lingine litakuja na WENGI zaidi watatapeliwa.

Mtu Fulani aliwahi kusema raia wa Tanzania ni maiti ukitulia ukatafakari hamuwezi kumlaumu sana
Hawa na wanaochota petrol kwenye magari yanayopata ajali hawana tofauti. Wanaungua kila mara lakini yakianguka tuu utawaona na madumu mbio.
 
Nilikua sijajua ujanja ujanja wa hizi scheme, ila huku kuna pesa.

Kuna kipindi nilidownload pesa kidogo nikapotezea, sasa hivi acha nidowload tena.

Hii ni kamali, ukuchelewa unalizwa, ukiwahi unapiga. Acha nijupatie hela za bia.

NB. Sio kila ponzy scheme ni ya kutia kibunda.
 
Aiseeee watanzania ni wajinga mnoo mno hawashughulishi fuvu zao,yaani kuna wilaya nipo aiseee wadada wamejiunga mno.
Nimejaribu kuwahoji hoji ila bado inaonekana suala la elimu lizidi kupewa kipaumbele,wanapenda sana hela ya bure.
Ukiwaoji fu unaona ni ujinga ujinga tu
 
Afrika ni tatizo sana , unamuingiza mtu unapata commission ya 10% unasema eti unapiga hela ni ujinga . Haya ndio hupelekea watu kuuza waafrika wenzao
Kwan huna akili?
Ukiwa nyumbu lazima uuzwe tena mchana jua linawaka kaliii
 
Nimewauliza hapa kuna mtu amewahi kurudisha mtaji wake,wote wanajiumauma,watanzania wao huwa hawareason hata siku moja.
 
Awali ilikuwa unatoa muda wowote, sasa inafikia ukingoni ndio wakaanzisha kutoa kwa level nadhani ilianza wiki iliyopita.
Ukingoni kivipi, siwamesema 18k unaingiziwa kila siku kwa mwaka
 
Kaka umeshaenda kuwithdraw? Asubuhi hii ndo nimejua kaka angu aliweka laki 5 tokea wiki iliyoisha hela haitoki.
Kasema sijui mmeambiwa mkatoe leo
Na hapo ataambiwa ni matatizo ya kiufundi, wataalamu wapo kulishughulikia mambo yatakaa sawa 😂
 
Ndio maana Kuna watu nawaambia kwamba Tanzania hii ukiamua kujifyatua akili kidogo ni rahisi kupiga Sanaa pesa kwasababu karibu 90% ya watz hapa nchini ni wajinga wa milele.
 
Back
Top Bottom