Utapeli: Jamaa amtapeli Waziri wa Ulinzi, ajitambulisha kama Katibu Mkuu wa CCM

Anyway!.

Kama waziri wa Ulinzi anatapeliwa kirahisi hivi, basi wajinga hawatokaa wamalizike.

Imagine ndiye anaingia dili ya manunuzi ya Vifaa vya kijeshi. Na akutane na mitapeli iliyobobea, mama yangu tunaingizwa cha kike.

Aisee!.
Raia tuko smart hao viongozi ndio washamba washamba hivi
 
Wiki ya wachaga hiiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Eti Waziri wa Ulinzi anatapeliwa na boya flan yupo kwa Aziz Ally hapo. Je akibananishwa na Wachina au Mabeberu itakuwaje? Huyo waziri anapenda kutoa rushwa ndiyo maana kaingia kwenye 18 za Masawe
Hivi swala la mchango wa harusi kwa mtu anayepokea million 10 kwa mwezi na posho kibao ni swala la kujiuliza mara 2? Si unatuma laki kama buku tu?

Ukute alituma laki 5 sema mi ningevunja line hapo hapo huyo massawe ni fara! Ukivunja line unasajili nyingine na kitambulisho cha mtu mchezo umeisha na una hama mtaa tu!
 
Kutapeliwa hakuna bingwa hata wewe nikitaka nakusokota vizuri na unajaa mazima wala sio swala la kucheka mbinu zipo kama buku hivi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…