Utapeli wa Dawa ya 'HIT' katika kuua Mbu

Kwamba unawapulizia Mbu unyunyu waje Wavuvi kempu kunywa Coctail ya Damu.. heheh.

Kuhusu vyanzo kwa kweli nanunua ktk haya maduka yetu ya mtaani.
 
Mbu wame evolve na kuweza kutengeneza usugu dhidi ya hizi dawa. Inatakiwa kununu dawa ya aina tofauti ili kupata matokeo chanya, jaribu kumtumia Ile dawa ya kuchoma inakua kwenye package ya silver .
Haina maajabu siku hizi Mbu washaizoea. Si ile inauzwa pakt moja sh 100?
 
Kweli mkuu wanazimia tu halafu wanaamka. zamani ulikuwa unazoa/unafagia mbu kibao ukifukiza kwa dawa za kuchoma.
Yes na Walikuwa wanaanguka kweli so unatime unawafagia.

Ila sahivi hawazimii wanajificha wanakaa huko wanajificha(Nahis wanavuta bangi zao) wakirudi ni spana tu.
 
Hizo ni bora ukapuliza perfume kuliko hizo takataka, jana nimetoka kugombana na mhudumu wa lodge moja mitaa ya Mawasiliano kwa kunilaza na mbu kisa HIT
 
Kwamba unawapulizia Mbu unyunyu waje Wavuvi kempu kunywa Coctail ya Damu.. heheh.

Kuhusu vyanzo kwa kweli nanunua ktk haya maduka yetu ya mtaani.
Ndiyo, wengi tunanunua huko. Ni Mungu tu anasaidia kwani Bongo mtu anaweza kuchanganya chochote bila kujali madhara. Chanzo cha kuaminika nimemaanisha kama unataka kununua brand nzuri ya bei kubwa kama aliyopendekeza mdau mmoja.
 
Yes na Walikuwa wanaanguka kweli so unatime unawafagia.

Ila sahivi hawazimii wanajificha wanakaa huko wanajificha(Nahis wanavuta bangi zao) wakirudi ni spana tu.
Hadi mijusi ilikuwa inakufa lakini kwa sasa utaona tu unaambulia mbu wawili watatu sakafuni ukifukiza.
 
Hizo ni bora ukapuliza perfume kuliko hizo takataka, jana nimetoka kugombana na mhudumu wa lodge moja mitaa ya Mawasiliano kwa kunilaza na mbu kisa HIT
Sirudii tena kuzinunua.. na sijui TBS wanafanyaga kazi gani hasa au wao kazi yao ni kukagua vipodozi vya carolite tu.

Haya madawa yanaumiza waTz wengi kiuchumi na kiafya pia, maana MALARIA inazid kutuumiza bado msongo wa mawazo kuwaza MBU usiku nalalaje etc.
 
Hapo kwenye nyoka wadogo umetuchomeka.
 
Ndiyo, wengi tunanunua huko. Ni Mungu tu anasaidia kwani Bongo mtu anaweza kuchanganya chochote bila kujali madhara. Chanzo cha kuaminika nimemaanisha kama unataka kununua brand nzuri ya bei kubwa kama aliyopendekeza mdau mmoja.
75k ndugu yangu.. unajua si mchezo.......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…