Gentlemen_
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 4,431
- 13,876
- Thread starter
-
- #61
Kwamba unawapulizia Mbu unyunyu waje Wavuvi kempu kunywa Coctail ya Damu.. heheh.Ni kweli. Hili ni la siku nyingi sana. Sana sana unakuwa kama unawapulizia mbu perfume ili watoke out kuja kunyonya damu wakiwa wananukia vizuri. Vipi Expel siku hizi hamna? Jmabo jingine la kuzingatia ni kununua dawa kutoka vyanzo vinavyoaminika. Binadamu tumekuwa kama wanyama na tuko tayari kutengeneza dawa zenye madhara ili tu kupata fedha. Kama mchina mimi simwamini kabisa.
Haina maajabu siku hizi Mbu washaizoea. Si ile inauzwa pakt moja sh 100?Mbu wame evolve na kuweza kutengeneza usugu dhidi ya hizi dawa. Inatakiwa kununu dawa ya aina tofauti ili kupata matokeo chanya, jaribu kumtumia Ile dawa ya kuchoma inakua kwenye package ya silver .
Ile ndio kiboko yaoIpo..
Yes na Walikuwa wanaanguka kweli so unatime unawafagia.Kweli mkuu wanazimia tu halafu wanaamka. zamani ulikuwa unazoa/unafagia mbu kibao ukifukiza kwa dawa za kuchoma.
Hizo ni bora ukapuliza perfume kuliko hizo takataka, jana nimetoka kugombana na mhudumu wa lodge moja mitaa ya Mawasiliano kwa kunilaza na mbu kisa HITHizi dawa zilikuwa vizuri miaka minne iliyopita ila hali ya sasa kwa kweli ni UTAPELI wa wazi.
1_ Haiui MBU kwa kiwango kinachopaswa yaani katika Mbu 50 watakufa watatu (3).
Yaan mpk mbu afe ni umloweshe na hiyo dawa ndio atakufa ila ukipuliza kama inavyoelekezwa upulize ktk mazingira ya eneo waliopo, hakika hatokufa Mbu hata mmoja, ukitaka mbu afe ni umshike umpulizie usoni.
2_ Hata Mbu kuzimia kidogo hakuna! Sana sana watajificha tu kwa muda wa lisaa limoja baada ya kupuliza ila watarudi na wakirudi wanarudi na NJAA ya kufa mtu. (Inawezekana hii Dawa ina wapa Appetite zaidi)
Sawa, nimepata recommendations kama 5 hivi kuhusu xpel..Ile ndio kiboko yao
Ndiyo, wengi tunanunua huko. Ni Mungu tu anasaidia kwani Bongo mtu anaweza kuchanganya chochote bila kujali madhara. Chanzo cha kuaminika nimemaanisha kama unataka kununua brand nzuri ya bei kubwa kama aliyopendekeza mdau mmoja.Kwamba unawapulizia Mbu unyunyu waje Wavuvi kempu kunywa Coctail ya Damu.. heheh.
Kuhusu vyanzo kwa kweli nanunua ktk haya maduka yetu ya mtaani.
Hadi mijusi ilikuwa inakufa lakini kwa sasa utaona tu unaambulia mbu wawili watatu sakafuni ukifukiza.Yes na Walikuwa wanaanguka kweli so unatime unawafagia.
Ila sahivi hawazimii wanajificha wanakaa huko wanajificha(Nahis wanavuta bangi zao) wakirudi ni spana tu.
ha ha ha , ilikua mara yangu ya kwanza kumuona tandu uso kwa uso aiseeUlifanya mauwaji ya kimbari ya biodiversity mkuu [emoji23]
Nakuunga mkono hii ni spray sio dawa ya kuua wadudu,mamlaka husika chukueni hatua tunaibiwa.
Sirudii tena kuzinunua.. na sijui TBS wanafanyaga kazi gani hasa au wao kazi yao ni kukagua vipodozi vya carolite tu.Hizo ni bora ukapuliza perfume kuliko hizo takataka, jana nimetoka kugombana na mhudumu wa lodge moja mitaa ya Mawasiliano kwa kunilaza na mbu kisa HIT
Hapo kwenye nyoka wadogo umetuchomeka.miaka flani nyuma, kibanda hakijaisha vyema
niliziba madirisha, nilipiga chumbani, kwa kua inachoke nikatoka nje kwa mda wa dk 20
kurudi, nakuta mende, mijusi, nyoka wadogo, tandu, buibui, wote wamekufa wako pembeni
nilishangaa sana, ilihali lengo ilikua ni kuua mbu, nilishangaa pia kuona naishi na tandu chumbani 😅
75k ndugu yangu.. unajua si mchezo.......Ndiyo, wengi tunanunua huko. Ni Mungu tu anasaidia kwani Bongo mtu anaweza kuchanganya chochote bila kujali madhara. Chanzo cha kuaminika nimemaanisha kama unataka kununua brand nzuri ya bei kubwa kama aliyopendekeza mdau mmoja.
ukiishi eneo ambalo kuna kapori pori, vinyoka(vya kijani) na tandu havikosekani,Hapo kwenye nyoka wadogo umetuchomeka.
Katupashia Tangawizi jioni ya leo...Hapo kwenye nyoka wadogo umetuchomeka.
Mbna kawaida...Mweeeh! Dawa ya mbu 75k
Hao wadudu aisee hivi wanakufa kwa Dawa za Mbu hizi? Hao nafkir mpk maji ya motoWakuu mkimalizana na mbu naomba tuhamie kwenye kunguni.
Kunguni ni Immortal hafi.Hao wadudu aisee hivi wanakufa kwa Dawa za Mbu hizi? Hao nafkir mpk maji ya moto