Utapeli wa Dawa ya 'HIT' katika kuua Mbu

Rungu ndo dawa ya Mbu... HIT tena lile kubwaa jinhaa ndo usijaribuuu haliuiii mbu lileee ni Air freshner...[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sinunui HIT tena.
 
What if ni mbu wamekua sugu
Wao wanatakiwa waje na solution means waongeze ingredients kupambana na usugu. Naamini watakuwa na Maabara ya kupima quality.
 
bora hata HIT kidogo inasaidia hii rungu inakulowesha mkono halafu inanuka mafuta ya taa na wakati mwingine dawa haitoki ila unashangaa ndani ya kopo bado ipo nyingi
 
Aise huu ni ukweli kabisa leo nilivyouona huu uzi Sasa ndo napigia mstari kabisaa, hit nilitumia siku za nyuma lakin kila nikirud nyumban nakuta mbu wako vilevile hawajafa na taratibu zote za kupuliza nimefanya

ila Kati ya Hit na rungu angalau Rungu napuliza mara 1 tu kwa wiki inasaidia mbu hawapo hawa hit bidhaa yao haiuwi mbu kabisa
 
Umejua kunichekesha. Nilikuwa na stress ila kwa andiko lako mbavu zimeuma. Anyways kwa Sasa hakuna dawa za mbu, ni usanii TU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…