[emoji23] ningepost kipeperushi chake sema itakuwa nampa promo ya bure. Jamaa anaclaim ni 100% accuracy mwezi mzima, hapo tayari alikuwa kaisha chukua 200$ karibia kwa watu mia nne na hajawapa mrejesho mpaka leo. Na ni huyu huyu aliwakusanya tena 1000$ ndani ya miezi miwili anawapa 10000$ za gari na hiyo ni toka december na sasa hivi wote wanaulizia kwenye group kuhusu hzo ishu wanatiwa block, alifungua ka ofisi kigamboni kule now imefungwa blaza kapotea yani huyu mshkaji kwa hesabu za haraka haraka kaishapiga zaidi ya 400k$ huyo magnetics akasome[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na hakuna wa kumdai kwa sababu wote waliotoa hela wamesign mkataba