UTAPELI WA FOREX: Francisco Magnetics adaiwa kuhama nchi, anadaiwa pesa nyingi. Polisi wamsaka!

UTAPELI WA FOREX: Francisco Magnetics adaiwa kuhama nchi, anadaiwa pesa nyingi. Polisi wamsaka!

Hiyo namba tatu Nani kakwambia account managers wakipata loss Wateja wanakimbia na hawana risky .. Kama hawana risk kwanini huyo magnetic amekimbia na anatafutwa na mikataba inambana arudishe sehemu ya investment ya investors..


Hivi umewahi kuushika mkataba wa investor na account manager na unavyosema atakapochoma account inakuwaje ??? ..

Watanzania acheni ujuaji .. Kuna kampuni kama umeinvest kwao ikitokea wamechoma account yako wanakurefund 50-70% ya account yako .. Sasa hiyo sio risk kwa account managers .. Vitu kama hujui funga domo mzee sio kujifanya mjuaji ....


Kile Ghana kuna MTU alichoma account za watu kama huyo magnetic alipigwa miaka hela mpaka sasa kutokana na mkataba alioingia na investors wake ...

Wewe unaona account managers hawana risk kwa sababu watanzania tuna vichwa nyanya hatusomi mikataba kabla ya kusaini unapompa hela huyo account manager..



Nakushauri kama hujui vitu kaa kimya au omba ueleweshwe.

Rudi kwenye hedge funds managers nilivyoongea, alafu kajifunze maana ya contract..., kwahio contracts za money manager ni kila akipoteza pesa yako akirudishie 50-70 % kweli hapa napoteza muda wangu bure.. narudia tena rudi kusoma how hedge funds manager make money, na tafuta kama hakuna mikataba ya kumpa mtu funds na kugawana profits and not loss
 
Rudi kwenye hedge funds managers nilivyoongea, alafu kajifunze maana ya contract..., kwahio contracts za money manager ni kila akipoteza pesa yako akirudishie 50-70 % kweli hapa napoteza muda wangu bure.. narudia tena rudi kusoma how hedge funds manager make money, na tafuta kama hakuna mikataba ya kumpa mtu funds na kugawana profits and not loss
Acha ujinga wewe unabishana na mtu ambae hivyo vitu nimepitia..


Kipindi naanza forex nilikuwa nafanyiwa account management na kampuni moja iko Holland .. Wakichoma wanamurudishia hiyo percentage ... Na walinirudishia... Sasa wewe endelea kuwa theoretical
 
So many loosers, muchknows and dunderheads in this thread.

Kila kitu kwao ni utapeli kwasababu hawafanyi.

Wakaeendeshe bodaboda wapate hizo hela mbazo sio za kitapeli.
😂 😂 😂 ndo wabongo tulivyo nadhani generation iliyozaliwa 2010 kwenda juu itakuwa tofauti kidogo wanakulia katika miongozo mizuri na wanalelewa na wazazi walioachana na Dark ages ila kwa wale wazazi ambao bado wako stuck in 1961 watakoma
 
Karibu Uptrend shoga mbona watu tunapiga pesa vizuri tu. Mie kwa week naingiza wastani wa $200 sio mbaya. Hapo no Uptrend Inc.

Halafu kwa Elikana-Fx sijadeposit bado.

Kisha FEA naingia $150 hivi kwa week.

Sasa niambie, $200 + $150 = $350 kwa week = $1200 kwa mwezi = 2.5 million TZS hainitoshi kukaa nyumbani na kusahau vicoba!!!

Maisha marahisi ukifungua akili na ukiwa tayari ku-take calculate risk.
Matangazo ya kuvutia wateja mkaweke jukwaa la matangazo mama Deborah, husika na kichwa cha maada
 
Kwahiyo point yako ni ipi??
Nimekwambia tunazunguka wewe umesema sipo sawa, nikauliza wapi eti High Trade Frequency hai-apply kwenye Forex nikakujibu matokeo yake mwisho wa siku bado tupo pale pale kwenye hayo makundi matatui niliyoweka Kuna Risky; na mengine hayana risky kwahio point ya mwanzo kabisa bado ipo valid na sioni hizi pages 13 tulikuwa tunaelekea wapi zaidi ya kupotezeana muda
 
Mwisho wa siku kila mtu abaki na anachoamini ...
That's 4 real, Jana niliona screenshot ya mnisi wa Sauzi anampongeza mwanafunzi wake kupiga milioni 300 kwa kuweka milion 1 ndani ya wiki 3 tu ila mwanafunzi analalamika broker hawataki kumlipa...hii ni tekniki ya mnisi kuvutia wanafunzi wapya waje kwake au
 
Nimekwambia tunazunguka wewe umesema sipo sawa, nikauliza wapi eti High Trade Frequency hai-apply kwenye Forex nikakujibu matokeo yake mwisho wa siku bado tupo pale pale kwenye hayo makundi matatui niliyoweka Kuna Risky; na mengine hayana risky kwahio point ya mwanzo kabisa bado ipo valid na sioni hizi pages 13 tulikuwa tunaelekea wapi zaidi ya kupotezeana muda
Hii ni leo tu kwenye v75


Wapigie simu hao matajiri wanaoyumbisha soko ... Shubamit
Screenshot_2019-05-12-15-54-08.jpg
 
Unajua maana ya gambling , (taking a risky action in hope of a desired result nimekupa mfano wa Soros huyo huyo ambaye aligamble kwamba England itaacha kujaribu kuzuia pound isishuke na mwisho wa siku gamble yake ika-pay off; England ingekaza uzi hapa tungeongea mengine......



Soma na kuelewa nimesema kwenye hii industry kuna sources hizo za kupata pesa Trader (risky); selling information na system zilizokufanya wewe ufanikiwe (not risky)

Managing people money and doing trades for them (not risky) kumbuka hapa hatumuongelei nani alifanya nini na wapi tunaongelea industry na kumbuka hawa watu wakubwa kutoa vitabu pia its a publicity, marketing promotion na kuwasaidia kwenye biashara zao its not only monetary value.., ila vitabu vyao huenda vikawa na publicity value ya pesa nyingi ambayo wangetumia pesa nyingi.., sio wote wanatoa vitabu ku-share knowledge yao na the mass


hapa hatuongelei the morality ya mtu ku-recruit watu ila nimeongelea risk involve kwa huyu mtu ambayo ni non.., na kama aliwaambia watu ninatumia ujuzi wangu kufanya investment kuwazalishia tugawane faida; hapo watu hawana kesi.., na bado kauli yangu its true no risk involved.


Pia hedge funds inatokana na kitu hedge (minimizing risk), na hizi funds zinaspread risky kwa ku-invest kwenye different portifolios na mwisho wa siku funds ikiungua ni pesa za wadau...

Na point kuanzia mwanzo ni risk involve kwenye kitu husika..., sasa issue ya muuza maembe, sijui wewe umepata ngapi au umepoteza ngapi hainihusu wala haina faida kwangu chenye faida ni kilichoandikwa na kuelezewa kama kina ukweli wowote (factuals) ya wewe umefanya nini au nani kafanya nini haibadilishi factual arguments
Hujajibu maswali yangu ya mwisho boss, nijibu kwanza, umetrade kwa mda gani na ni biashara ipi isiyo na 1% risk?
 
Karibu Uptrend shoga mbona watu tunapiga pesa vizuri tu. Mie kwa week naingiza wastani wa $200 sio mbaya. Hapo no Uptrend Inc.

Halafu kwa Elikana-Fx sijadeposit bado.

Kisha FEA naingia $150 hivi kwa week.

Sasa niambie, $200 + $150 = $350 kwa week = $1200 kwa mwezi = 2.5 million TZS hainitoshi kukaa nyumbani na kusahau vicoba!!!

Maisha marahisi ukifungua akili na ukiwa tayari ku-take calculate risk.
Uptrend si kwa Ontario? Bado mko na wale wa south? Sasa shoga yangu hiyo 200$ si mpaka niwe nayo sasa
 
1. vp unaendelea kufanya fores??,
2. kuna jamaa yangu huwa ananiambia nikimpa elf 50 ataifanya iwe laki na nusu nadni yawiki, je pana ukakika au ntapigwa?
Mkuu huwa anafanya kamari kwenye forex , kwa hiyo hapo Kuna wawili either abahatishe au apigwe
 
kinachowagharimu wafanyabiashara wa forex ni kwamba huwa wanafikiri zile feza za forex ni feza za bure badala ya kufanya hiyo biashara kwa nidhamu ya juu kama biashara nyingine!!
 
mkuu inonesha wazi hajawahi kutrade hata mt4 sijui kama atakua anaijua hata kuitumia
Ngoja tumsubirie aje, na akija alete na screenshot ya trades za week iliyopita na kama hatrade the first week of the month basi alete za mwezi wa nne naona kwanzia sasa tusiandike tena twende kwa mwenda wa screenshots tu. Unaweza ukawa unapoteza mda na mtu kumbe kama ulivyosema hata mt4 haijui.
 
We Fala acha kubwatuka umechanganya majina.
Kuna "Sandile Shezi" na "Andile Mayisela"
Hapo jamaa alimuongelea "Andile"
Acha ujinga.
Mbona umepaniki na unanitukana bure...nyie wote ni matapeli mwanzo mwisho
 
Back
Top Bottom