UTAPELI WA FOREX: Francisco Magnetics adaiwa kuhama nchi, anadaiwa pesa nyingi. Polisi wamsaka!

UTAPELI WA FOREX: Francisco Magnetics adaiwa kuhama nchi, anadaiwa pesa nyingi. Polisi wamsaka!

Salim Sumri kauza Mabasi yake zaidi ya 80 akawekeza pesa yote kwenye kilimo. Analima ekari 5000 za mahindi, ana mashine ya kuvunia ameinunua kwa zaidi ya Million 600.. Then a stupid cunt kama wewe unasema kilimo upumbavu??

Nenda Morogoro, Mbeya, Iringa, Songea, Kiteto kaseme huo ujinga wako. Nenda Mtwara na Lindi waambie huo ujinga ulio kichwani kwako. Wewe umesoma HKL unataka unifundishe mimi Forex??

Wajinga mnaopenda shortcut kwenye maisha ndio mnaishia kufanya huo upumbavu. Possibly mnatetea hapa ni hao matapeli mnaokimbia na pesa za watu. Hakuna shortcut kwenye utajiri you have to deliver goods or services.
Tatizo kichwa chako kimejaa kamasi usikaze akili, nimesema wapi kilimo ni upumbavu??? Kitu nilichosema hakuna biashara yenye mtelezo hata kilimo wengi wameangukia pua na mikopo juu ,sio unakuja kudanganya watu kwenye kilimo unajipangia kabisa lazima nipate profit. Kila biashara inapande mbili faida na hasara.

Halafu kama wewe ni mkulima uliefanikiwa kwenye kilimo hakuna haja ya kutolea mfano wakina salim, jitolee mfano wewe mwenyewe, unamafanikio yaapi, bro sio kila mtu lazima afuge kuku kila mtu anauhuru wa kufanya biashara anayotaka bila kuvunja sheria.

Jaribu kutafuta vijana ambao hawana ajira wanaangaika huku mtaani wasaidie mitaji halafu jaribu kuwapangia hao chakufanya ,hakuna aliekuomba mtaji kazi kupiga domo utakuja vishwa chupi na pesa za wanaume.



.
 
Yani hii nchi ccm itaendelea kutawala miaka 60,000 ijayo... Yaani mpaka mwaka 2019 mtu anasema Forex ni utapeli. Bad enough mtu huyu ukute kamaliza chuo na ana degree yake ... Oohhh Lord



Mtu anakwambia kilimo hakina hasara !!! .. Mungu wangu...


Mtu analinganisha Forex na michezo ya kubeti !!! Mungu wangu ... Sasa mbona haiendi kusajiliwa kwenye ile bodi ya michezo ya kubashiri ya wakina Abas Tarimba ???




Mtu anakuja na hoja eti hakuna hela bila kufanya kazi ... Unamuuliza wale wanaonunua hisa za za DSE (Soko la hisa Dar) katika vodacom , faida wanapataje??? .. Na Mimi nikinunua Hisa za mmarekani au makampuni 30 ya mjerumani (ger30) Nina tofauti gani na huyo wa DSE??

Sasa kwa nini wa DSE asisemwe asemwe yule wa ger30 kwenye forex ??..


Ila Mimi siwalaumu watanzania maana haya ni matokeo ya Sera mbovu za nchi kufuga raia kama Kuku bandani. . RAIA hawana exposure hata ya kutembelea nchi jirani walau hata Burundi muone wengine wanaishi vipi ... Kuna vitu vingi RAIA inabidi tupate exposure ili tuweze kufanya ...



Leo Serikali ya Tanzania huwa inauza T.Bills na Tresuary Bonds zake, na huwa zinatangazwa na mawakala wa soko la hisa la Dar Es Salam... Kwa akili hizi ninazoziona humu ndio maana sishangai kuona wanunuzi wakubwa wa hizi amana za serikali huwa ni waarabu na wahindi waishio Tanzania.. Wenzenu wanaamka na misuli ni mwendo wa kusali tu kutwa nzima. Kumbe wamenunua zao amana za serikali..


Nyie endeleeni kukopana vikoba .. Nchi inaliwa na wachache kwa kuamini hakuna kazi bila kutoka jasho .. Ila sishangai sisi tulikuwa watumwa ...



NB: ifike muda kila MTU afanye aonacho kinafaa. Tumejitahidi sana kuelimisha Ndugu zetu ila matokeo yake ni kuitwa matapeli ...
punguza ukali wa maneno japo kidg unapigilia sana ingawa unachokiongea ndo ukweli wenyew na hakika ni ukweli ,kwelikweli
ni kama unamfundisha mwanafunzi na makwenzi juu lazima akili imukae sawasawa.
 
Wewe kichaa kweli unazungumzia million 600 kwenye Forex ??


Huyo Magnetic kijaba mbongo ambae najua angeweza kukuoa wewe na familia yako mbona alikuwa nayo kwenye account yake .. Nenda Barclays masaki ukaulize wale staffs wa pale walivyokuwa wanajigonga gonga kwake ...
Wanajigonga kwa pesa ya utapeli.. hahaha hiyo hata kunywa coffee pale holiday inn kwetu sie ni kawaida tu..

https://jamii.app/JFUserGuide you and your poor friends😂😂😂
 
Tatizo kichwa chako kimejaa kamasi usikaze akili, nimesema wapi kilimo ni upumbavu??? Kitu nilichosema hakuna biashara yenye mtelezo hata kilimo wengi wameangukia pua na mikopo juu ,sio unakuja kudanganya watu kwenye kilimo unajipangia kabisa lazima nipate profit. Kila biashara inapande mbili faida na hasara.

Halafu kama wewe ni mkulima uliefanikiwa kwenye kilimo hakuna haja ya kutolea mfano wakina salim, jitolee mfano wewe mwenyewe, unamafanikio yaapi, bro sio kila mtu lazima afuge kuku kila mtu anauhuru wa kufanya biashara anayotaka bila kuvunja sheria.

Jaribu kutafuta vijana ambao hawana ajira wanaangaika huku mtaani wasaidie mitaji halafu jaribu kuwapangia hao chakufanya ,hakuna aliekuomba mtaji kazi kupiga domo utakuja vishwa chupi na pesa za wanaume.



.
Wewe ni tajiri kuliko watu wote huku Tanzania/JamiiForums
 
Salim Sumri kauza Mabasi yake zaidi ya 80 akawekeza pesa yote kwenye kilimo. Analima ekari 5000 za mahindi, ana mashine ya kuvunia ameinunua kwa zaidi ya Million 600.. Then a stupid cunt kama wewe unasema kilimo upumbavu??

Nenda Morogoro, Mbeya, Iringa, Songea, Kiteto kaseme huo ujinga wako. Nenda Mtwara na Lindi waambie huo ujinga ulio kichwani kwako. Wewe umesoma HKL unataka unifundishe mimi Forex??

Wajinga mnaopenda shortcut kwenye maisha ndio mnaishia kufanya huo upumbavu. Possibly mnatetea hapa ni hao matapeli mnaokimbia na pesa za watu. Hakuna shortcut kwenye utajiri you have to deliver goods or services.
Kilimo kweli ni kizuri ila pamoja na yote watanzania wengi wanaolima bado nao wanafanya betting tu... yaani wanacheza kamari kwa kupanda mbegu kisha kusubiri mvua inyeshe

Mfano mzuri ni mwaka huu, maeneo mengi ya Morogoro yanayolimwa mpunga wengi mpunga ulikaukia shambani kwa kukosa mvua

Kwa hiyo bado hata kilimo si biashara ya kumkomboa mwenye mtaji mdogo kwa Tanzania

Kifupi mtu aliyepeleka mtaji wake wa kwanza mwaka huu kwenye mpunga hasa maeneo ya Morogoro ame burn account kama mtu wa forex anavyo burn account tu kwa sababu mbalimbali
 
Mimi hapa naishi kwa kufanya forex na indices .. Tuweke account zetu Mimi na wewe ambae unalima..


Au weka kiwango cha hela ulichotengeneza last wiki na Mimi niweke ...
Utoto unakusumbua..
 
Monday
IMG_20190520_151138_162.jpeg
Screenshot_20190520-110609.jpeg
Screenshot_20190520-110641.jpeg
 
Forex ni somo ambalo linafundishwa kwenye Management Accounting, ni soma ambalo kila muhasibu lazima asome. Big Financial Institutions zinaajiri First Class students na bado zinawasomesha on envy league Universities. Huwezi kuwa Treasurer pale Barclays, Standard Chartered na bank kubwa duniani kama hizo kama akili yako haiko on another level. Kama Forex is not scum hawa watu wenye akili nyingi wangekuwa wanaingizia faida year in year out hizo banks. But kwanini wao wanarisk kununua Government bonds inamarture maybe after 10yrs wakati anaweza cheza hiyo forex in a night akatengeneza a billion profit?

Forex ingekuwa a real business hakuna bank ingefilisika rafiki, Banks have lot of money, trust me alot of money kuwa bankrupty wakati forex inalipa overnight. Barclays SA isingewekwa under muflisi wakati Fulani kwa kushindwa kuulinda mtaji wake..

Forex is a scum, asifananishe hata forex na shares zinakouzwa pale DSE. Ukinunua share ya Vodacom there are folks who works very hard day in day out kuhakikisha Vodacom inatengeneza faida na ndio hapo value ya share hupanda. Sasa wewe una trade currencies unafananisha na a tangible thing kama Vodacom au TBL?
Nimetofautiana kidogo na wewe kwenye red...Management accounting haina topic ya forex ..na pia kwenye masomo kama international finance kwa degree na business and corporate finance kwa cpa wahasibu hatujifunzagi forex ile ya kubeti sijui wanaita scalping sijui price action...wahasibu tunajifunza Ku manage foreign exchange risks kwa futures contracts, forward contracts, options contracts, financial swaps, money market hedge, Currency of invoice, smoothing, matching, netting, leading, lagging, etc.

Kiufupi wahasibu tunajifunza vitu vya uhakika ambavyo sio vya kutabiri soko litaenda vipi panapo majaliwa kwa lengo la kuweka ugali mezani, kuna mstari mwembamba sana unaotofautisha betting na forex trading.
 
Formula ya kupata mtaji Kila mmoja anamazingira yake kulingana na akili yake.Mambo ya msingi ni bidii na kuacha yasiyo ya msingi .Na mtu anaeuliza mtaji hajajipanga kisakolojia kuanza kufanya kazi
kuacha kama yapi
 
Formula ya kupata mtaji Kila mmoja anamazingira yake kulingana na akili yake.Mambo ya msingi ni bidii na kuacha yasiyo ya msingi .Na mtu anaeuliza mtaji hajajipanga kisakolojia kuanza kufanya kazi
Kumbe unajua ilo, sasa online business ni moja ya njia ya kutafuta mtaji kwa baadhi ya watu hususani mimi | mtaji hautafutwi kwa njia moja then unajiita mjasiriamali nina biashara, najihusisha na online business, ikitokea sehemu ya kushindanisha idea nipo ila focus ni kufika tu.....unless uwe umezaliwa kama kina MO ndio uongee hivyo.
 
Nimetofautiana kidogo na wewe kwenye red...Management accounting haina topic ya forex ..na pia kwenye masomo kama international finance kwa degree na business and corporate finance kwa cpa wahasibu hatujifunzagi forex ile ya kubeti sijui wanaita scalping sijui price action...wahasibu tunajifunza Ku manage foreign exchange risks kwa futures contracts, forward contracts, options contracts, financial swaps, money market hedge, Currency of invoice, smoothing, matching, netting, leading, lagging, etc.

Kiufupi wahasibu tunajifunza vitu vya uhakika ambavyo sio vya kutabiri soko litaenda vipi panapo majaliwa kwa lengo la kuweka ugali mezani, kuna mstari mwembamba sana unaotofautisha betting na forex trading.

Ipo mkuu labda hamkufundishwa tuu..kuna topic inaitwa forecasting exchange rates ..nimesoma hio kuanzia undergraduate,cpa hadi MIB pale udbs
 
Tunawaambia ila hua hamsikii..huyu dogo nlikua namuangalia kwa jicho la mbali instagram alipokua anasema kwamba sjui ujiunge na uweke mtaji wako haalfu ndan ya mwezi sjui wiki akaunti itakua na dola elfu 10..ikifika dola 10000 unatoa..yeye ndo anakua anakupa hizo entries..nikasema..."kamwene"
😂😂😂
 
Ipo mkuu labda hamkufundishwa tuu..kuna topic inaitwa forecasting exchange rates ..nimesoma hio kuanzia undergraduate,cpa hadi MIB pale udbs
Tupe mawili matatu unayoyakumbuka kwenye hiyo forecasting exchange rates...katika forecasting mlisoma vitu gani vya kuangalia, maybe kama kuna technical issues au economic issues ya nchi
 
Back
Top Bottom