Utaratibu na Ratiba za kumjibu Joseph Sinde Warioba kutokana na Press yake leo

Mzee ana hoja, bt natatizika kumuelewa, coz ujambazi ktk chaguzi zetu haujaanza leo, why hakuwahi fanya anachofanya sasa?
Kama ujambazi katika chaguzi zetu hauja Anza Leo Kwa hiyo hapaswi kutoa maoni? Na kama hakuwahi fanya anachofanya sasa marekebisho ya mfumo wetu wa chaguzi haupaswi kubadilika?
 
Mnatetea matumbo tenu huku mkifurahia watu kuporwa haki zao na kuteswa mnasubiri mpaka muambiwe kuwa ninyi ni wauaji?
ni muhimu zaidi kulinda maslahi ya taifa,
na sio kuendekeza chuki na makasiriko dhidi ya mamalaka za serikali zilizopo kazini kutekeleza wajibu wao kikatiba.

uhasama wa dhuluma za fedha, mali na kumendea wake za watu, yakikutokea puani kwa vitendo huna haja kulaumu taasisi na mamlaka za serikali.

umeiba au kudhulumu cha mtu anaejibu ulichomdhulumu kwa vitendo,
unakuja kumbwelambwela mitandaoni eti ng'we ng'we ng'we, eti sijui amefanyaje huko na watu wasiojulikana, kumbe jitu limefumaniwa. that is useless
 
comrade,
well done
umegonga kwenye utosi kabisa wa wanafiki wengi mno humu jukwaani dah

utaskia yanavyokurupuka sasa kwa mihemko dhidi ya ukweli huo kama manyumbu vile
 
Mzee kwa sasa Kuhibu hizo hoja unahitaji akili kubwa.

Mfano anakwambia uchaguzi wa 2025 utakuwa mbaya kuliko huu wa mitaa 2024. Sababu utasimamiwa na watu wale wale.

Unamjibu vipi? Kama hakutakuwa na tume huru ya uchaguzi, katiba mpya?
Lakini tuende mbele turudi nyuma huyu mzee kwa sasa ni kama vile Biden us atelier asizalishe mitafaruku yy ni zao la serikali hii iliyopo kwa nn asiseme kipindi magufuli yupo na ǰe ni kwann w wakuu wengine kina pinda na sumaye wao wapo kimya hawayajui haya au ndio ujuaji bila kujitafatakari mm nimeguswa kutokana na kutabiri uchaguz ujao bora hata angeongelea past elections kama tufanyie weakness ili tuwe bora zaid mwisho na yy ni mjinga tu flani
 
Mzee ana hoja, bt natatizika kumuelewa, coz ujambazi ktk chaguzi zetu haujaanza leo, why hakuwahi fanya anachofanya sasa?
Mkuu umeingia leo Tanzania? Ebu fuatilia vizuri press mbalimbali za Mzee Warioba hadi kipindi kile anakunjwa kwenye jukwaa la kudai Katiba Mpya pale Blue Pill Hotel.
 
Kwa HERUFI KUBWA NAKUPONGEZA KWA KUANDIKA HASA MZIZI WA HUYU MZEE KUA MNAFIKI LEO NIMEPATA JIBU KILA MARA NILIKUA NAA ATTRIBUTES KITU GANI ANAJCHOFANYIA BIFU LEO NIMEKIPATA NA CCM WAMBANIE HV HV ANA LISURA KAMA NYARWANDA ANATAKA KUANZISHA CHOKO CHOKO HATA AKIONGEA UNAONA HASIMAMII ANACHOMAANISHA JIBU AJIVUE CCM KWANZA
 
Umesahau Lucas Mwanshwamba
 
Jamaa katupa jiwe gizan. lakni mtu limempata la uso anavumilia maumivu tu


Mimi naona yupo vizur anawambia namna gani mjipange vizuri zaidi uchaguzi mkuu
 
Lakini hata hao aliokubaliana nao si wanaijua Katiba inasemaje ??!
😅😂😂

Tuliwaambiaga kwamba Katiba ndio mpango mzima muwe munawaelewa watu wanaosema hivyo. !

Katiba ni Msumeno ! Na kawaida ya Msumeno huwa unakata mbele na nyuma !

Kwahiyo watu wengine kundini wakifikiwa na Msumeno wajue hivyo ndivyo ilivyo !
Msumeno utaendelea tu na Kazi na kawaida yake ya kukata 😳🙄 !
 
Mtoa mada ameandika Kwa fasihi naona umeshindwa kumuelewa vyema
Umetukana bila kujua alichokuwa anamaanisha
Mtu yeyote anayetanguliza matusi badala ya kujibu/kujielekeza kwenye hoja, ni mgonjwa wa akili. Hata kama yeye atajiona yuko sawa. Na kwa bahati mbaya sana hapa JF wagonjwa wa akili wanazidi kuongezeka. Tunawatambua kutokana na maandishi yao.
 
Kwani huamini kama dunia ina mwisho?
Mzee anaongea ukweli japo mnauchukia ukweli huwo kwasababu ya maslahi yenu binafsi.

 
Crap
 
Nyie wengine huwa hamna wazazi? Hamkulelewa na wazazi? Wewe unaweza kuwa CCM kuliko Warioba? Muogope Mungu kijana. Weka heshima hata kidogo uepuke laana.

Anyway. Hongera sana umeweza mjibu Warioba. Umemshambulia vizuri kweli kama ambavyo tulitaka. Umtukane na kumshambulia kwa maneno makali. Haya sasa waambie watu wenye akili waingie kipengele cha pili. Wamjibu hoja zake. Ndani ya CCM wapo wenye akili huwa tu hatuwapi nafasi. Sisi kama wewe ndo tunapata nafasi sana. Na mimi kama Warioba hatupewi nafasi.
 
Tuendelee kumshambulia Mzee Warioba. Na angekuwa karibu hata tungempiga mawe. Tusiache mshambulia na kumtukana mpaka akome kuwa anaongea ukweli. Anatakiwa abadilike ajifunze kusema mitano tena.
 
Kama vile nimekusoma mzee wa ujumbe uliojicha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…