Utaratibu wa kugawa chakula usiku wa manane kwenye harusi haufai

Utaratibu wa kugawa chakula usiku wa manane kwenye harusi haufai

Wakurudishie pesa yako, ukawekeze DSE au nunua SAMIA Bond. Kama huwa unachangia Elfu 50 hadi laki kila harusi, na kwa mwaka kuna harusi 4 hadi 5.

Hiyo pesa ukiweka kwenye Samia Bond utakuwa umejisaidia sana huko baadaye, achana na harusi, mwanaume gani anaenda kwenye sherehe za harusi?

Wewe subiri muda ukifika utakutana na wanandoa utawapa hongera. wakinuna wala haina shida, makasiriko yao hayakusaidii wala kukupunguzia chochote.
 
Wakurudishie pesa yako, ukawekeze DSE au nunua SAMIA Bond. Kama huwa unachangia Elfu 50 hadi laki kila harusi, na kwa mwaka kuna harusi 4 hadi 5.

Hiyo pesa ukiweka kwenye Samia Bond utakuwa umejisaidia sana huko baadaye, achana na harusi, mwanaume gani anaenda kwenye sherehe za harusi?

Wewe subiri muda ukifika utakutana na wanandoa utawapa hongera. wakinuna wala haina shida, makasiriko yao hayakusaidii wala kukupunguzia chochote.
Una hoja nzuri mno mkuu
 
Napenda sherehe za harusi za mchana hadi jioni au usiku.. Kutegemeana na crowd ila yote yanaend akimpangilio bila watu kununaaaa na kulilia njaa

Kanisani Mapema then hao kwa mnuso

Hiyo watu wa nafurahia wote na muda upo mtu unaenda kulala na kuwahi kanisani.
 
Siku hizi ukigandisha wahudhuriaji, labda uwe umeweka ya zawadi mwanzoni. Wakila tu haooooo wanasepa 🤣🤣🤣

Kijijini sijazoea hayo hivyo nilipo ona ndio style ya sasa eeeh lazima MC awe vizuri sanaaaaaa

Akisukumwa na waohusika, harusi ikaharibika mengi kwa muda etc
 
Nimehudhuria harusi ya jamaa yangu hadi muda huu saa 5 hatujala,

Kwenye kuomba mchango wanapiga simu hadi kero, tukihidhuria harusi tule japo kuku, mnatupa viporo usiku saa 7

Wapo wanatuomba zawadi na kushindanisha Yanga na Simba, kututaja majina na mambo mengine ya kijinga
Wametupa bia Nazo zimeisha sijui na kulewa hatujalewa

Chakula Bado na njaa inauma sana usiku huu

Sichangii tena harusi, kama utaratibu wa kutupa kuku ni usiku wa manane
Huwa ni ujinga mtupu ndiyo maana wengine hatuchangi, ukiwauliza why? "Wanasema ati watu wakila mapema watatoroka na zawadi" huo kama si ujinga ni nini, mtu amechanga 100K, bado apangiwe muda wa kutumia fdha yake
 
Huwa ni ujinga mtupu ndiyo maana wengine hatuchangi, ukiwauliza why? "Wanasema ati watu wakila mapema watatoroka na zawadi" huo kama si ujinga ni nini, mtu amechanga 100K, bado apangiwe muda wa kutumia fdha yake

Sielewi kama tatizo zawadi, kwanini hawazichukui mapemaaa
 
Mkuu, hii niliwahi kuisikia mwenyewe MC akipewa maagizo ya namna ratiba iwe pale Msimbazi center tukiwa kwenye kikao cha harusi

Ni kweli ipo hivyo siku hizi, ila naamini waki chukua mapema na MC akaendesha sherehe vizuri watu watakaa

Mimi siendi sherehe yotote nikiwa na njaa.. hata njiani nitanunua kitu nile kama nilichelewa kitu na sikula home
 
We una dharau
Harusi ni watu
Lazima ukienda kwenye harusi uonyeshe ushiriki wa vitendo
Sio walete chakula ule kidogo au ukatae
Tupo kwenye harusi ila sio kwamba ni masikini ati hatuwezi kula kwenye familia zetu
Mzee vipi yani niteseke Na Njaa kisa nipo Kwenye harusi what for sasa? Mtu mfano ana Complications za tumbo asote tu eti kisa anatoa ushirikiano hio unaona ni sawa?

Kwanza mambo ya Kura harusini ni mambo fulani ya Ovyo mimi kula kwenye Mikusanyiko ya watu huwa sipendi kwasababu hujui ata usalama wa huo msosi vinywaji ni safe mana Viko sealed, Tuendako Mambo ya Kula Kula Public yataondoka kwasababu chakula Sio common issue wewe unaweza kupenda wali maharage mimi nikawa napenda ugali bamia ivo kula kwenye Mikusanyiko sio ushirikiano au Sifa ni hatari hata kwa usalama wako
 
Afu Hizi mambo ya Vyakula Kupikwa kwenye haraiki ya watu ni umasikini tu wakuu, Kwasababu issue ya ulaji haiwezi kuwa Common watu wapo kwenye diet, watu wanashida za Matumbo leo Upige wali maharage utegemee watu wote wale ni Ujinga, wasipokula eti unanuna hawatoi ushirikiano ni Ujima sana wazee ifike time izi haraiki kama misiba kuwe na bites na drinks tu ambazo mtu atachagua sio Leo unaniletea plate ya wali maharage nakuambia hicho mimi hapana unanuna eti sitoi ushirikiano, Yani nitoe ushirikiano afu niharibu diet au Nivuruge tumbo
Vyakula vya haraiki sio salama sana mana hata Hujui hygiene iliyotumika kuviandaa
 
Harusi za siku hozi siyo ya mivyakula saa tano. Mkifika tuu pale unakula starts ya kushiba haswa. Ukiingia ndani wanaleta nyama, za foil. Baadae nyama za kuchoma pia mnamlizila na kuku huku vinjwaji ni kata mti panda mti.
Hayo mambo ya kulishwa ubwabwa na machalali usiku hapana kwa kweli.
 
Kwanini mnawachangia watu ambao mnajua kabisa wanaenda kuumizana tu!?
Unamchangia Leo,unakutana nae mwakani anakuambia waliachana.
Watu wanaoanza tu kuishi pamoja bila hata mahari uwa wanadumu Sana.
Mkianza kukaa pamoja kabla ya ndoa, mkijichanganya tu kufunga ndoa possibility ya kuachana ni 90%, lakini pia nahisi kuna mambo ya nguvu za giza behind the scene,
 
Back
Top Bottom