Utaratibu wa kutoa matokeo ya mtihani kwa majina umetusaidia sana hatudanganywi tena

Utaratibu wa kutoa matokeo ya mtihani kwa majina umetusaidia sana hatudanganywi tena

Kwahiyo anaweza enda three??

[emoji2440][emoji2440]
Hawezi! Form III ni mpaka apate Div IV, III, II & I. Yaani, angalau angekuwa na D mbili au C moja katika masomo yake yote aliyofanya.
 
Nashauri baraza la mtihani wasiishie Kwa kidato cha pili, darasa la Saba na darasa la nne, warudishe pia na kidato cha nne.

Kuna madogo huku mtaani tulikua tukiwaambia wasome walikua busy na wavuvi camp mambo hadharani, hakuna kuuliza sijui namba yako ni ipi.

Nashauri Kwa kidato cha nne utaratibu ungekua pia matokeo yatoke Kwa majina.
Ndo kilichokuleta duniani? Haya wewe una elimu gani na imekusaidia Nini hapo mpaka sasa
 
Nashauri baraza la mtihani wasiishie Kwa kidato cha pili, darasa la Saba na darasa la nne, warudishe pia na kidato cha nne.

Kuna madogo huku mtaani tulikua tukiwaambia wasome walikua busy na wavuvi camp mambo hadharani, hakuna kuuliza sijui namba yako ni ipi.

Nashauri Kwa kidato cha nne utaratibu ungekua pia matokeo yatoke Kwa majina.
Uwe ni utaratibu wa kitaifa level zote
 
Wengine wapo bize na game sijui moves, play station, macho chini leo.
Kwamba Play Station na movies zinazuia mtu kufaulu?,hii mentality mbona kama siafikiani nayo...Nimekua mdau wa hayo madudu for years na nimemaliza form 4 mwaka wa mwisho matokeo ya necta kua na majina na ufaulu haukua haba....Hii dunia imefunguka tusiwazuie madogo ku enjoy new technology kwa kigezo et watafeli.
 
Nashauri baraza la mtihani wasiishie Kwa kidato cha pili, darasa la Saba na darasa la nne, warudishe pia na kidato cha nne.

Kuna madogo huku mtaani tulikua tukiwaambia wasome walikua busy na wavuvi camp mambo hadharani, hakuna kuuliza sijui namba yako ni ipi.

Nashauri Kwa kidato cha nne utaratibu ungekua pia matokeo yatoke Kwa majina.
Enzi zetu matokeo yalikuwa yanatolewa kwa majina. Hapa katikati wakati Eng. Shukuru Kawambwa, binamu wa JK watoto wa wakubwa walikuwa wanafeli sana. wakaona matokeo yasiwe na majina bali namba tu.
Nadhani ni wazo sahihi matokeo yatoke kwa majina.
 
Back
Top Bottom