Utata: Msanii Roma Mkatoliki na wenzake wakamatwa/tekwa nyara

Huyo faru fausta siwamuue tu m 64 kumtunza kwa mwezi wakati kwa sasa mahospitalini hata panadol Mpaka ukanunue nje ya hospital, hili taifa aliyeliroga nikiboko kabisa yani.
Hahaha akipotea ama akifa naona watavamia jamii na kuchukua data then watapekua nick name zote wakipata yako utashikiliwa kwa kutoa kauli za kumwombea kifo mtukufu faru fausta!!????
 
Madelu Nchemba alitaka kuzoom akadouble tap alafu hajui kama inasoma [emoji16][emoji16][emoji16]

Safi kumbe wahusika huwa mnamsoma Mange ,
mmewapa motisha watu wazidi kumuongezea info [emoji41][emoji41][emoji41]
 
Je huyo mke wa roma ameshaenda polisi kuripoti?roma hana wazazi wa kufuatilia ishu nzima. Huyo mwanamke asidhani kuonhea kwenye media kutasaidia inaweza kuwa inamharibia mumewe huko alipo.

 
Hahaha akipotea ama akifa naona watavamia jamii na kuchukua data then watapekua nick name zote wakipata yako utashikiliwa kwa kutoa kauli za kumwombea kifo mtukufu faru fausta!!????
Hahaaaaa mkuu unanichulia nipotee ka Ben Saanane tena mi sioni umuhimu wa mnyama kuliko binadamu, sasa hapo serikali haijali wananchi wake walipa kodi hyo si ndo inaleta laana yenyewe ya umaskini unaozidi kukithiri, million 64 ndefu juzi tu nilienda hospital panadol shida, had bandage sasa nikisikia upuuzi wa faru fausta, Mara John naona huo ni zaidi ya uchizi na ni aibu.
 
Kama ney wa mitego aliitwa akaenda huyu amenyakuliwa
 
Umeongea ukweli sana mkuu na wachache watakuelewa mkuu.

Na hili suala linakumbusha kipindi manji ameitwa central police,kuna watu walikuwa wanamtetea kwasababu zao binafsi lakini sijui walikuwa hawajui au wanajua kwamba ni mtumiaji wa dawa za kulevya.

Sasa tukumbushane binadamu tuna mambo mengi tumeficha kupitia kitu fulani,kama kweli amekamatwa inawezekana sio kwasababu ya usanii wake,labda ana vitu vingine hata mkewe au sisi tunashabikia hapa hatujui.
 
Mkuu kuwa sirias basi inamaana hata nyimbo inaitwa mathematics hujawahi kuisikia kwa msiojielewa kama nyie ndo mnaona Roma hana kitu ila ni mwanaharakati hatari yule akiamua kuingia kwenye siasa nyimbo zake ni chachu hatari kwa bashite na magu wake
Roma atakuwa kajiteka au katekwa na waliokuwa wanamtumia baada ya kuona sasa hivi ukitukana wala hukamatwi wanakuachia tu, sasa njia nzuri ya kutafuta sympath ni either kujiteka au kutekwa na wanaokutumia, wasanii chungeni sana msitumike
 
Hivi kumbe na Mwigulu ni team " unabisha nini wakati Mange kasema " hapo ndipo Watanganyika wanaonekana watu wa ajabu na bado tupo Jangwani kutoka Egypt kuelekea Israel ya Ufahamu
 
Hapo nadhani Magufuri ni rais wa Tanzania nchi anayotoka msanii Roma na Makonda ni mkuu wa mkoa wa Dar ambayo ni makazi ya msanii Roma.Kumbuka hiyo picha ni mkenya kaiweka kwenye page yake.Mengine tuwaachie polisi
Mkuu roma si anaishi tanga na tongwa record ipo tanga.
 
Utawala wowote ukikosa mamlaka ya kimaadili huanza kutawala kwa mkono wa chuma! Utawala uliopoteza mamlaka ya kimaadili hukosa wafuasi wa hiari, hulazimika kulazimisha heshima kwa vitisho!
Ushauri: Akubali kuwa kuna mahali amekosea na awaombe radhi watanzania na afanye marekebisho pale alipokosea! Kukubali kuwa umekosa siyo udhaifu Bali ni kuonyesha nguvu za kimaadili na kujiamini!
Watu waoga na dhaifu huogopa kukiri kuwa wamekosa! Usipokiri kosa linaloonekana wazi kama la Bashite gharama yake ni kubwa sana! Ni kujiondolea mamlaka ya kimaadili (moral authority). Leo hii hana kabisa ujasiri wa kukemea vyeti fake mbele ya watu! What a shame!
 
Hivi kumbe na Mwigulu ni team " unabisha nini wakati Mange kasema " hapo ndipo Watanganyika wanaonekana watu wa ajabu na bado tupo Jangwani kutoka Egypt kuelekea Israel ya Ufahamu
Nchi hii wengi wanapenda ushilawadu kuanzia Raisi Mpaka Raia wake.
 
Sio kila msanii anaishi dar. Usikubali kushikiwa akili na wakenya,kisa mkenya kaweka picha hio basi tuchekelee na kuanza kuropoka tu
Hapo nadhani Magufuri ni rais wa Tanzania nchi anayotoka msanii Roma na Makonda ni mkuu wa mkoa wa Dar ambayo ni makazi ya msanii Roma.Kumbuka hiyo picha ni mkenya kaiweka kwenye page yake.Mengine tuwaachie polisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…