Mpunilevel
JF-Expert Member
- Sep 14, 2015
- 3,140
- 1,871
Waziri ni mluthelaniWakati mnamtafuta Msanii wa Hip Hop Roma Mkatoliki na Moni Centralzone pamoja na Vijana wengine waliotekwa pale Studio za Tongwe Records, Mheshimiwa Waziri mwenye dhamana yupo katika mtandao wa kijamii wa Instagram anafanya kazi ya kugonga 'LIKES' katika post za Mange Kimambi.
Ajaribu aone kilichomtoa kanga manyoya.hakuna tatizo hapo. it means bashite atashugulikiwa
Akipotea Faru John PM anaunda tume na sampuli zinatumwa nje kuchunguzwa.
Akipotea Ben, Roma au mtu mwingine PM anapiga kimya.
Tuunde tume ya kuchunguza akili za viongozi wetu.
Wakati mnamtafuta Msanii wa Hip Hop Roma Mkatoliki na Moni Centralzone pamoja na Vijana wengine waliotekwa pale Studio za Tongwe Records, Mheshimiwa Waziri mwenye dhamana yupo katika mtandao wa kijamii wa Instagram anafanya kazi ya kugonga 'LIKES' katika post za Mange Kimambi.
Unaweza KU like picha na usishituke kuwa kama umefanya hivyo hasa kama ulikuwa unazoomSI kweli kuna ukibonyeza kitufe cha love upya tena love yako inaondoka ndicho anapaswa afanye sasa..
Habari wakuu nimekuta bandiko katika ukurasa wa Prof. Jay kuhusu kukamatwa kwa msanii ROMA na kuchukuliwa kwa baadhi ya vitu vya studio ya Tongwe record sijui ni kiki au kweli? Mwenye kujua kinachoendelea
=======
View attachment 491832
Baada ya kuzagaa kwa taarifa kuhusu kukamatwa kwa Msanii Roma Mkatoliki akiwa studio na kupelekwa kusiko julikana, Muungwana Blog imefika katika studio za Tongwe Records jijini Dar es salaam ambapo mkasa mzima ulikuwa hivi...
Kwa mujibu wa Mashuhuda (Majina yanahifadhiwa) walio ambao pia wanaishi katika nyumba ambayo inapatikana studio ya Tongwe, wameijuza Muungwana kuwa April 5, 2017 ambayo ilikuwa ni jana, katika majira ya Saa moja jioni ilionekana gari aina ya Noah nyeusi nje ya studio hizo, ambapo walishuka watu zaidi ya Watano na kuingia ndani ya studio hizo.
Watu hao bila ya kujitambulisha walitamka kuwa wanamuhitaji Roma na mwenzake ambapo walimchukua na kutoka nae nje, na baada ya muda kidogo walirejea ndani na kuwachukua wengine watano akiwemo na Prodyuza wa studio hiyo Anayeitwa Moni.
Mbali na kuwachukua watu hao pia mashuhuda hao wemeeleza baadhi ya vifaa vya studio hiyo pia vimebebwa ikiwemo TV, na Computer.
Kwa Mujibu wa Mwanasheria wa Studio hiyo aliyejitambulisha kwa jina moja la Edin ameiambia Muungwana Blog kuwa nikweli tukio hilo limetokea na mpaka sasa hawajui Roma na wenzake wamepelekwa wapi na hivyo hawezi kuelezea zaidi mpaka atakapojua walipo wakina Roma, ambapo aliongeza kuwa anakwenda kuripoti katika kituo cha polisi cha Oysterbay Jijini humo.
Chanzo: Blogs
Ni MKATOLIKIHivi Roma ni nani nchi hii?
Akijitokeza ndio utajua kweli kajificha. PumbavuKwa hio Roma anajificha afu mkewe kamuachia nani?
Umeshawahi kumuona mke wa roma?
Pumbavu.
[emoji23] [emoji23]Wakati mnamtafuta Msanii wa Hip Hop Roma Mkatoliki na Moni Centralzone pamoja na Vijana wengine waliotekwa pale Studio za Tongwe Records, Mheshimiwa Waziri mwenye dhamana yupo katika mtandao wa kijamii wa Instagram anafanya kazi ya kugonga 'LIKES' katika post za Mange Kimambi.
Faru john na huyo rumi nani mwenye maslahi zaidi kwa nchi hii?Akipotea Faru John PM anaunda tume na sampuli zinatumwa nje kuchunguzwa.
Akipotea Ben, Roma au mtu mwingine PM anapiga kimya.
Tuunde tume ya kuchunguza akili za viongozi wetu.
Ameshikwa kwa sababu gani ?na kwanini kama anakosa wasimfungulie mashitaka.sasa anashikiliwa unataka nyumbani kwake waweke msiba au wafanye nini kama baba wa familia anapotea kama kuku.ukiona hivyo hatuko salama hata kidogo.muda si mrefu tutapuliziwa sumu kama syria.eee mungu tunusuru na haya.mungu uchelewa kutujibu lakini atatenda haki kwa wakati.Labda hajapotea yumo mikononi mwa serikali sasa tatizo lipo wapi kama kashikwa na serikali?
Huwa mnapenda kufuata mkumbo kwa mambo msioyajua.Mlisumbua humu na hashtag za Saanane,mfalme Mbowe akawapiga stop mkaufyata hata kuhoji hamkuhoji tenaAkili yako kama matope ya chooni