Unajitahidi kutuma majengo yaliyojengwa na hao wanaume zako onyesha ya kwenu huko kolomije
bashite na baba ubaya wamemteka ili wapate kiki kwenye magazetiHivi Roma ni nani hasa hadi atekwe na serikali?
Yaani atekwe kisa hako ka wimbo kake tu?
Unajitahidi kutuma majengo yaliyojengwa na hao wanaume zako onyesha ya kwenu huko kolomije
Umezoa kunyenyekewa humu wewe gendaheka mzeeNyumbu logic....
Sasa wewe unaona mimi nimeuliza ili nipewe jibu halafu nawe unauliza swali lako juu ya swali langu?
Can't fix nyumbus!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji631] [emoji631] [emoji631] [emoji631]Umezoa kunyenyekewa humu wewe gendaheka mzee
Mwambie aweke picha yake kama anataka tumuone .asiweke picha za watu na magari. Kwani ni muhalifu.watu wengine wana akili za kitotoo.Tokea lini nyani akajibiwa zaidi ya kufukuzwa kwenye shamba la mahindi
Aisehh nchi imekuwa ya kamata kamata !! Haya mambo niliyasikia mataifa mengine mengine nikawa nawadharau kumbe eh ni rahisi rahisi tu hata sisi yametukuta.
Wakimaliza na wenye mawazo tofauti watarudi humo humo.
Wenzako wametumia karibu miaka 200 kujenga nchi yao lakini wewe housegirl unaishia kupigia vipicha na kusifia hahaha unatabia zote za mabeki tatu[emoji631] [emoji631] [emoji125]
[emoji385] [emoji385] [emoji385] [emoji631] [emoji631] [emoji631]Wenzako wametumia karibu miaka 200 kujenga nchi yao lakini wewe housegirl unaishia kupigia vipicha na kusifia hahaha unatabia zote za mabeki tatu
Huwa nacheka sana watu humu wanavyokuogopa na kukunyenyekea kwavile upo USA wakati unatabia zote za kihousegirl mpenda udaku jifunze kwa wakina Kiranga huwezi kuwakuta kwenye mambo ya kishenzi kama wewe wapo kwenye forum size zao nyambaf[emoji385] [emoji385] [emoji385] [emoji631] [emoji631] [emoji631]
Huwa nacheka sana watu humu wanavyokuogopa na kukunyenyekea kwavile upo USA wakati unatabia zote za kihousegirl mpenda udaku jifunze kwa wakina Kiranga huwezi kuwakuta kwenye mambo ya kishenzi kama wewe wapo kwenye forum size zao nyambaf