Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona wa clouds walionekanaIna maana studio haikuwa na CCTV camera ili waonekane watekaji.
Ha haaaaaa. Kwa povu hili jibu tumelipata. Ila kawaambie unaowasujudia,sasa hamtatuteka Bali tutapambana tu.kila mtu ajilinde roho yake.mgongo wa shangazi yako.ulivyo kuwa na akili fupi kama maisha ya inzi chooni.unadhani kila anayepotea ni njama za magufuli acha ufala.roma apotezwe kwa lipi.
Ukitaka kujua stori za wafanya biashara na magu na bashite muulize mangeWakitoka kwa wasanii wanaenda wapi sasa? maana huku walisha pita
-Wafanyabiashara
-Vyombo vya habari
-Upinzani
-
-
-
Ni dadavulie mkuu hata pm! Unitoe tongotongoUkitaka kujua stori za wafanya biashara na magu na bashite muulize mange
Ok fine. Lakini nadhani makosa makubwa tulifanya pale alipopotea Saanane. Wengi tumeshamsahau, hata Mbowe humsikii akimuongelea mara kwa mara japokuwa alikuwa msaidizi wake.Hakuna taarifa iliyosema kakamatwa na polisi na ingekua polisi tungejua yupo kituoni
Kick nayo " K" mkuu?Kukamatwa nayo 'K' eeeh
Si kweli!!!!! Alita ku zoom bahati mbaya aka like hata mie inanitokeaga!!!!!!