Utata wa imani - jirani yangu kaponea tundu la sindano. Ilikua ni kwaheri buriani

Naamini kabisa unayosema mkuu,
Yaani huyo alieleta ujumbe ningekuwa mimi ningemkata mitama ya uhakika na kumuambia nenda katambike uchi sasa

Wa hivyo nawapenda sana maana Mshua alikuwa anawapiga haswa tukimumbia huyu ni mchawi na hawakuweza kumdhuru wakifikiri kuwa na confidence hivyo labda nae ni baba lao

Kumbe hamna ila anaswali sana
 
Daah πŸ˜‚.
Haya bwana mkubwa
 
Ni kama unavyokua darasa la kwanza unaambia 1-5= haiwezekani
ukifika la 4 unaambiwa inawezekana lakin stil 1Γ·5=haiwezekan mpaka ufike la 7.
so you are right, it is about levels u r in Bufa
 
Mkuu kwanini unatumia nguvu kubwa sana kuaminisha uchawi upo?😁😁😁
Lakin hakunabmahala nimewaaminisha watu. Am just agreeing with them, and trust me, i dont judge them too
 
Lakin hakunabmahala nimewaaminisha watu. Am just agreeing with them, and trust me, i dont judge them too
Sawa mkuu, mimi pia nilisha mtibu mtu ambae alikua ana amini kalogwa mambo yake hayaendi vizuri kimaendeleo na kila mtu aliamini hilo, kwa kumpa maji kidogo nikamwambia akaogee siku tatu , ila ni maji tu ya kawaida , na yule mtu baadae Ali rudi na kunipa zawaida shida yake imekwisha kabisa ,na yule mtu haumwambii kitu kuhusu mimi , apo wewe unafikiri shida ilikua ni nini?
 
Ni kama unavyokua darasa la kwanza unaambia 1-5= haiwezekani
ukifika la 4 unaambiwa inawezekana lakin stil 1Γ·5=haiwezekan mpaka ufike la 7.
so you are right, it is about levels u r in Bufa

Hiyo ni science. Naona mnajaribu ku explain ulozi in scientific ways, could y'all contradict yourselves any more?

Kwenye ushirikina ukiacha story hamna proof hata siku moja. Science ambacho hujui Leo au ambacho hujafika level yake ukifika utajulishwa na kuonyeshwa scientifically na majibu yatakua consistent. Kwenye ushirikina ni story tu mwanzo mwisho kila siku mnahamisha goal post. Kama mtu anapaa na ungo nionyeshe usinipe story. Kama watu wanafufuka, wanatokea ukutani, wanageuka kuwa jiwe nionyeshe proof with consistent results sio story. Tumeomba humu turogwe tena kwa kutoa hela wenyewe hadi Leo tunadunda tu wachawi hao hao wanakuja tena kuuliza majina yetu yani mtu anayeweza kupaa na ungo hawezi kujua jina lako kichawi πŸ˜…
 
Wsoamini haya mambo hayajawakuta ila tuombe sana manusura kwa imani zetu
 
Kama sio target huwezi kuamini uchawi upo au haupo!!

Ukishakua tagert yatakukuta na utajua Kuna positive na negative energy katika huu ulimwengu!!

Huwa wanarogwa Hadi wanyama wasio na hatia kisa wewe ndio mmiliki!!

Haya mambo yapo,wakiamua ku set pin code hadi umedecode ushaumizwa kimwili na kiuchumi!

Nguvu zote zipo Nuru na Giza!
 
Duh

Ova
 
Afrika hizo mambo kawaida mi nilishangaa kuna kijana alifanyiwa ulozi na mama yake mzazi ikafikia hatua akamtelekeza baba mtu kahangaika akaponea kigoma, baada ya kupona ndo mama anamtaka mwanae, hivi hawa watu akili zao huwa zipo matakoni eti!
Haya mambo hata wazungu wanayo angalia movie inaitwa ghost house 2017 utajifunza kitu hapo japo ni movie wame act ila naamini huwezi uka act kitu bila ya kuwa na ufahamu japo mdogo kwa ambacho unaigiza pia ameitafsiri DJ Mack kiswahili 2019.
 
Haya mambo hata wazungu wanayo angalia movie inaitwa The ghost house utajifunza kitu hapo japo ni movie wame act ila naamini huwezi uka act kitu bila ya kuwa na ufahamu japo mdogo kwa ambacho unaigiza
Huku tumezidi sana
 
Unajifaragua mwenyewe na vingereza vyako vya ugoko vya shule za kata!

Hujui kitu wewe bado mtoto!

Cc: Kapeace
 
Uchawi upo wakuu..ila ni sayansi ndogo mnoo endapo ukiijua inavyo fanya kazi...
Tatizo jamii inafanya generalization kwa kila kitu kinacho tokea kuwa ni uchawi.

Iko hivi wakuu,mwili wa binadamu una operate katika certain spiritual Energy Frequency of vibration.

Na pia uchawi una attract ama unadhuru mtu akiwa kwenye Certain Frequency of energy vibration maana uchawi wenyewe ni Energy pia.

Kuna namna unaweza ukafanya ukapandisha Frequency zako za spiritual Energy of vibration..

Ukiwa kwenye hizo level za juu,,mchawi akifanya lolote hawezi kumatch na wewe maana una operate kwenye angle ambayo yeye hayupo..

Hii elimu nitakuja kuitoa siku moja,nitaweka uzi kabisa maana ni mada pana.
 
Ni kama unavyokua darasa la kwanza unaambia 1-5= haiwezekani
ukifika la 4 unaambiwa inawezekana lakin stil 1Γ·5=haiwezekan mpaka ufike la 7.
so you are right, it is about levels u r in Bufa
Exactly brother πŸ™πŸ½
 
Kutumia uchambuzi au kuonesha interconnectivity ya matukio au maelezo ni human nature hivyo, ukiita ni sayansi kwa misingi ya sayansi upo sawa kabisa ila kwangu ni maisha ya kawaida kama vile watengeneza gongo wasivyojua kuna kitu kinaitwa chemistry ila kitu wakifanyacho ni kemia Kabsaa. Hivyo hakuna big issue hapo

Kingine Mkuu naona umejibu kwa kusimamia unachoamini ila si nilochokiandika.
Nimeshakuambia ukitaka hayo yote lazma ukubali kuingia katika spiritual zone

Kama ambavyo mtu wa kijijini ignorant ukimwambia kuna protons au brain cells hawezi kukuelewa au kukuamini hadi umuingize katika zone ya sayansi, ndivyo hivyo hivyo huwezi kuuelewa uchawi kwa kukaa katika zone yako uliyopo.

Kitu sahihi, ungetafuta jinsi ya kuingia katika zone ya ushirikina ili uyajue ya washirikina.

Usikae kwenye sofa lako ukatoa dau humu jf kwa learned individuals wakukate kiu yako.

Ukirudi bongo mkuu, nipe hiyo tenda na pesa ya usumbufu iwe ya kutosha ili niweze pata the right person maana na utu uzima huu sijawahi kukanyaga kwa mganga. Ila kupata wapenda waganga, mbona chaap na utafurahi. Nawasilisha mkuu πŸ™πŸ½πŸ™πŸ½
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…