Utata wa maelezo juu ya kifo cha Katibu na motive ya Mkandamizaji

Anecheza mchezo hatari halafu kasepa marekani in case akitaka kikamatwa.
Kuna muda nakuwa tofauti kidogo.. ukweli anao marehemu.. ingawaje lazima kuna gap ipo mahala fulani ambayo kama wapelelezi wakiitumia vizuri ukweli utajulikana kuhusu ni nini hasa kimetokea...
 
Eeeehhhh,
 
Huenda kaenda huko ili ajitoe kabisa kwenye msala.. Asihusishwe
Ukingalia sana crime documentaries za USA utakutana nacho sana hiki kitu. Watu wanatuma watu wengine kuua spouses wao afu wao wanakuwa sehemu nyingine labda na watu wengine so inawapa alibi. Mtu mmoja hawezi kuwepo sehemu mbili tofauti kwa wakati mmoja. So huenda jamaa alifanya hivi kama ALIBI
 
Haya mambo yanafikirisha! Unfortunately inaonekana dogo ana familia dhaifu kufatilia hili kwa kina maana kama una akili timamu hesabu zote zinagoma! Hakuna anayeomba mabaya kwa Masanja lakini hili swala hata kama ukifunika kombe bado linatatiza sana ....
 
Hapa bongo kila MTU ni FBI.

Naombeni mniambie aliyemuua Dr. Mvungi.!
Haha mzee kwa FBI hii ishu ilikuwa ishakwisha mchana kweupeeeee😂😂😂tena mauaji yanayohusisha mapenzi ndo rahisi kukamata watu maana huwa wanatumia emotions zaidi kuliko thinking.
 
Suspicious no 2
Kwa nini masanja akatuma mtandaoni post ya kumsamehe mkewe siku moja baada ya tukio? Alikuwa na haraka gani? Alikuwa anajua kinachoendelea na kitakachotokea!?
Na kwa nini amsamehe mkewe kama ilikuwa anatongozwa tu? Je mke kutongozwa ni kosa la mke mpaka asamehewe? Hapa kuna maswali yasiyo na majibu. Angesema amemsamehe marehemu hapo kidogo ingeleta mantiki.

Lakini kumsamehe mtongizwaji ambaye alikuwa anakataa mahusiano kwa kulinda heshima ya mmewe ni kosa kubwa alilofanya Masanja katika kupanga mipango yake. Ningekuwa askari sasa hivi Masanja angekuwa anajibu maswali hayo kwa kuanzia uchunguzi.
 
Kweli hapo kwenye kumkataa angempiga block na angeendelea na usumbufu angemtaarifu mumewe amfukuze hapo kanisani

Unatongozwq kisha unamfuata nyumbani anayekutongoza kumkatalia?? Haingii akilini
Haiingii akilini,mke wa bwana mkubwa "kumfuata nyumbani,katibu akisindikizwa na mama ambaye jina lake halijatajwa"!!
,Kwa nini asingeripoti katika uongozi wa kanisa???
 
Aliwahi kupost bila kufikiria ,madhara yake.
 
Ah mkali gwala hii! Mambo ya udetective haya. Unasamehe mkeo kutongozwa na kumkataa mtongozaji?
 
Polisi ifikie mahala, wawe na akili wanapo toa taarifa za uchunguzi karne ya 21. Yaani kumkataa mtu hadi ukodi rafiki wa kukusindikiza? Unaenda kwake ili iweje?

Hapa Masanja achunguzwe-Kuna Movie ka icheza.
Hahahaaa yaani nimechekaaa
 
Kumbuka kuna uhusiano wa "baba mchungaji na katibu wa kanisa",kama kijana alikataliwa,walishindwa nini kumuita katika uongozi wa kanisa?? Badala yake wakaenda kwake kumuambia aache kutuma ujumbe wa mapenzi??
 
Mkuu umenikumbusha channel yangu pendwa...Investigation Discovery..kuna wabobevu huko na manguli wa hizi kazi,kuna mamilioni ya kesi kama hizi za Masanja ambazo zimekua solved.
Inapatikana wapi hiyo
 
Kuhusu mlango kufungwa kwa ndani mtu kama ni funguo ndogo anaweza ufunga kwa nje na funguo kurushwa ndani ili ionekane kajifungia.na hospitalini wamesema kuwa hakuwa na alama yeyote ya mapambano kabla y kifo chake zaidi ya kujinyonga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…