Utawala wa Samia ni Fundisho tosha kwa Nchi Namna ya kuchagua Makamu wa Rais

🤣Mbona unaogopa..so nikipinga Nina chuki...ushapoison the well inaitwa.
 
mkataba wa Bandari umeaharibu kila kitu!


asipouondoa, utam cost sana,! for sure!!!!!



YESU NI BWANA NA MWOKOZI
 
Upo serious umefikia hatua ya kumfananisha. Mwamba JPM na mama samia ...... ngoja nikwambie JPM ni levo zingine kabisa
Wewe ni mjinga unaweza kulinganisha utawala wa dictator muuwaji mvamizi wa mali za watu na mama ambaye ametoa uhuru kwa kila mtu kusema anacha taka, nyie ni wapumbavu kabisa mnamatatizo ya kufikiri.
 
Mama apunguze u softness, na uvivu...awe na hulka ya kujiridhisha taarifa anazoletewa mezani wahuni sio watu wazuri wanampiga fix kwa maslahi ya matumbo yao kisha lawama zinarudi kwake
 
Wewe ni mjinga unaweza kulinganisha utawala wa dictator muuwaji mvamizi wa mali za watu na mama ambaye ametoa uhuru kwa kila mtu kusema anacha taka, nyie ni wapumbavu kabisa mnamatatizo ya kufikiri.
Acha kutukana watu. Jenga hoja
 
Hee maajabu
Mmh nyie wengi mna kasoro katika kufikiri magufuri was a worse president ever got in Tanzania, ila nyie wspumbavu ambao hamna uwezo wa kufanya analysis za kina ndo mna muona kwamba alikua mzalendo, ile ilikua shetani kubwa, fisadi jizi mtu mwenye husda na visasa tunashukuru Mungu kumchukua mapema.
 
Hizo kodi zetu. Utaratibu wa fedha zetu kuziita za mama mnazingua
 
Kwa hili shimo tulilo tumbukia inabidi katiba ibadilishwe kabisa, Raisi akifariki uitishwe uchaguzi na makamu wa Raisi asitokee kwa wanywa urojo kamwe
 
🤣Mbona unaogopa..so nikipinga Nina chuki...ushapoison the well inaitwa
mkataba wa Bandari umeaharibu kila kitu!


asipouondoa, utam cost sana,! for sure!!!!!



YESU NI BWANA NA MWOKOZI
Mbona unakazania udini
 
Mbona amewazidi wale wapayukaji wote waliopita
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…