Utendaji wa CCM hii chini ya mwenyekiti Samia suluhu hassan, ni wa kisayansi sana kisiasa, hamasa ni kubwa mno mioyoni mwa wananchi kujiunga nayo

Utendaji wa CCM hii chini ya mwenyekiti Samia suluhu hassan, ni wa kisayansi sana kisiasa, hamasa ni kubwa mno mioyoni mwa wananchi kujiunga nayo

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Faida za mipango mikakati, maagizo na maelekezo yanayoamuliwa na kutolewa kutoka vikao vya ngazi za juu vya CCM, hususani taifa, yanafika bara-bara na yanatekelezwa vizuri kikamilifu sana, na kwa ufanisi mkubwa mno kwenye matawi na mashina ya CCM huku mitaani na vijijini. hili liko wazi kabisa, nadhani kila moja wetu anashudia mbilinge mbilinge zinazoendelea...

mathalani,
shauku, hamasa na ari waliyonayo wana CCM kujiandikisha kwaajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa baadae mwaka huu ilivyo juu, lakini pia jambo zuri zaidi, na la kutia moyo sana ni muitikio wa wananchi wengi zaidi hususani vijana, kuhamasika sana na kujisajili uanachama wa CCM..

vijana wamehamasika kiasi kwamba, mpaka wamefikia hatua ya kudai walau kwanza wapate akaunti namba tu za CCM, halafu kadi ziwe za kielektronic ama zisizo za kielektronic wazipate baadae aise,

mambo ni motroo kweli kweli..

hata hivyo,
yote haya yanapewa nguvu na kuchochewa na jitihada kubwa zenye matumaini makubwa sana, zinazofanywa na serikali sikivu ya awamu ya 6 chini ya mwenyekiti wa CCM taifa, comrade, Dr. Samia Suluhu Hassan, kipenzi cha waTanzania wote, na kutekelezwa kwa makini na uhakika mkubwa na timu mahiri mno ya kiutendaji, inayoongozwa na shupavu mchapakazi comrade Dr.Emmanuel Nchimbi katibu mkuu ccm taifa, CPA Amosi Makala muenezi taifa na waandamizi wengine katika kamati za kusimamia utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM kutoka katika jumuiya na idara mbalimbali za chama..

USHINDI WA KISHINDO NI LAZIMA CCM NA BILA CCM MADHUBUTI NCHI ITAYUMBA.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi
hodi geita :pulpTRAVOLTA:
 
Faida za mipango mikakati, maagizo na maelekezo yanayoamuliwa na kutolewa kutoka vikao vya ngazi za juu vya CCM, hususani taifa, yanafika bara-bara na yanatekelezwa vizuri kikamilifu sana, na kwa ufanisi mkubwa mno kwenye matawi na mashina ya CCM huku mitaani na vijijini. hili liko wazi kabisa, nadhani kila moja wetu anashudia mbilinge mbilinge zinazoendelea...

mathalani,
shauku, hamasa na ari waliyonayo wana CCM kujiandikisha kwaajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa baadae mwaka huu ilivyo juu, lakini pia jambo zuri zaidi, na la kutia moyo sana ni muitikio wa wananchi wengi zaidi hususani vijana, kuhamasika sana na kujisajili uanachama wa CCM..

vijana wamehamasika kiasi kwamba, mpaka wamefikia hatua ya kudai walau kwanza wapate akaunti namba tu ya CCM, halafu kadi ziwe za kielektronic ama zisizo za kielektronic wazipate baadae aise, mambo ni motroo kweli kweli..

hata hivyo,
yote haya yanapewa nguvu na kuchochewa na jitihada kubwa zenye matumaini makubwa sana, zinazofanywa na serikali sikivu ya awamu ya 6 chini ya mwenyekiti wa CCM taifa, comrade, Dr. Samia Suluhu Hassan, kipenzi cha waTanzania wote, na kutekelezwa kwa makini na uhakika sana na timu mahiri mno ya kiutendaji, inayoongozwa na shupavu mchapakazi comrade Dr.Emmanuel Nchimbi katibu mkuu ccm taifa, CPA Amosi Makala, muenezi taifa na waandamizi wengine katika kamati za kusimamia utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM kutoka katika jumuiya na idara mbalimbali za za chama..

USHINDI WA KISHINDO NI LAZIMA.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi
hodi geita :pulpTRAVOLTA:

View: https://youtu.be/QZkT4uSGLBk?t=27
 
Faida za mipango mikakati, maagizo na maelekezo yanayoamuliwa na kutolewa kutoka vikao vya ngazi za juu vya CCM, hususani taifa, yanafika bara-bara na yanatekelezwa vizuri kikamilifu sana, na kwa ufanisi mkubwa mno kwenye matawi na mashina ya CCM huku mitaani na vijijini. hili liko wazi kabisa, nadhani kila moja wetu anashudia mbilinge mbilinge zinazoendelea...

mathalani,
shauku, hamasa na ari waliyonayo wana CCM kujiandikisha kwaajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa baadae mwaka huu ilivyo juu, lakini pia jambo zuri zaidi, na la kutia moyo sana ni muitikio wa wananchi wengi zaidi hususani vijana, kuhamasika sana na kujisajili uanachama wa CCM..

vijana wamehamasika kiasi kwamba, mpaka wamefikia hatua ya kudai walau kwanza wapate akaunti namba tu ya CCM, halafu kadi ziwe za kielektronic ama zisizo za kielektronic wazipate baadae aise, mambo ni motroo kweli kweli..

hata hivyo,
yote haya yanapewa nguvu na kuchochewa na jitihada kubwa zenye matumaini makubwa sana, zinazofanywa na serikali sikivu ya awamu ya 6 chini ya mwenyekiti wa CCM taifa, comrade, Dr. Samia Suluhu Hassan, kipenzi cha waTanzania wote, na kutekelezwa kwa makini na uhakika sana na timu mahiri mno ya kiutendaji, inayoongozwa na shupavu mchapakazi comrade Dr.Emmanuel Nchimbi katibu mkuu ccm taifa, CPA Amosi Makala, muenezi taifa na waandamizi wengine katika kamati za kusimamia utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM kutoka katika jumuiya na idara mbalimbali za za chama..
awa ni kazi kubwa
USHINDI WA KISHINDO NI LAZIMA.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi
hodi geita :pulpTRAVOLTA:
Uchawa ni kazi kubwa ikibidi kujidhalilisha
 
Huyu Mama anafanya mambo makubwa sana na hakika ni rais smart sana,kwa wiki moja iliyopita mambo aliyofanya ni makubwa sana
Ni kweli kabisa Hadi ameshindwa kukemea walawiti wa yule binti!

Pia Teka Teka kasema ni drama TU huku sativa akiwa mahututi huko alipo!

Hata mimi namuona smart hivyo hivyo kama wewe!
 
Kusifu Na Kupiga Mapambio
Tumeshaamka



Roho Mbaya Jazz Band
Leo Tupo Hapa
 
Mnamwaibisha tu mama Dulla. Ona sasa ulichoandika hata akikiona mwenyewe hapa atabaki kushangaa maana anajua hakuna alilofanya la maana kwa muda wote tuliokuwa naye hapa.
 
Huyu Mama anafanya mambo makubwa sana na hakika ni rais smart sana,kwa wiki moja iliyopita mambo aliyofanya ni makubwa sana
Amemaliza Rushwa? ameatatua changamoto ya ajira? au unazungumzia kujaza uwanja kwa wanafunzi wa wajinga kutolewa Madarasani na kwenda kumshangilia?
 
Back
Top Bottom