fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 2,977
- 3,798
unajua siku zote mjinga na mpumbavu hudhani wengine ndio wapumbavu,mimi sikukatazi wewe kutunga uongo uutakao,kumtukana samia utakavyo,ila ukweli kuwa samia anafanya mambo makubwa,ushahidi upo waziwazi,kuhusu kama na akili au sina upstairs,zako ni wazi zipo matakoni,au downstairs,right you foolish?We ni mjinga SANA, kukataa kupigwa minada Mali za Tanganyika ni chuki???🤔🤔are you ok upstairs???
Kweli UJINGA NI MZIGO.
Hongera sana kwa kuchagua ujinga
hebu fanya utafiti kidogo tu uone ni kipi serikali inafanya utakubaliana nami kuwa anafanya mambo makubwa sanaWe mkulima , kuanzia 2025 tafuta kazi nyingine ya kufanya. Kilimo hakitakuwa na msaada tena maana maeneo mengi yatageuka kuwa jangwa ikiwemo mbeya . Tanzania itakumbwa na mfululizo wa majanga . Itakuwa ni historia mbaya kwa serikali kipindi cha kuanzia 2025 .
kwahiyo rais smart ni yule anayekemea walawiti sio?Ni kweli kabisa Hadi ameshindwa kukemea walawiti wa yule binti!
Pia Teka Teka kasema ni drama TU huku sativa akiwa mahututi huko alipo!
Hata mimi namuona smart hivyo hivyo kama wewe!
Kifupi huyo Samia hamna kitu hapo, endeleeni na pambio za sifa.unajua siku zote mjinga na mpumbavu hudhani wengine ndio wapumbavu,mimi sikukatazi wewe kutunga uongo uutakao,kumtukana samia utakavyo,ila ukweli kuwa samia anafanya mambo makubwa,ushahidi upo waziwazi,kuhusu kama na akili au sina upstairs,zako ni wazi zipo matakoni,au downstairs,right you foolish?
YatajeHuyu Mama anafanya mambo makubwa sana na hakika ni rais smart sana,kwa wiki moja iliyopita mambo aliyofanya ni makubwa sana
1.kilimo cha umwagiliaji jinsi miundo mbinuYataje
huu wote ni uongo wa hali ya juu na soon utaaibika sana kwa uongo wa namna hiiKifupi huyo Samia hamna kitu hapo, endeleeni na pambio za sifa.
Akishinda, ambalo lisitokee, nchi hii itakuwa imeuzwa vitu vingi kwa wajomba zake WAARABU.
1.Bandari za BARA kwisha habari.
2.Mbuga za wanyama case study
Ngorongoro kauziwa mwarabu.
3.Uwanja wa ndege wa KIA kauziwa mwarabu.
4.Yuko mbioni kujua Mbuga za wanyama ,kuchimbisha madini yaliyoko kwenye mbuga za wanyama.
KURUHUSU awe Rais 2025-2029 atauuza kila kitu Cha maana Cha Tanganyika.
Watu wenye akili, sio kama zako ZA KUVUKIA BARABARA,
Inabidi kukataa kwa njia halali huyu Mama kuendelea kuwa Rais wa Tanzania.
Ipo hatari vizazi vijavyo vikatucheka kwanini tulishindwa kuzuia kuuzwa kwa rasilimali za nchi??
Good news ni kuwa CCM ndani Hali si shwari.
"Sijui hapa KATIKATI mambo yaharibike sana....." Jakaya kikwete.🤣🤣🤣
Labda wewe ni mgeni hapa Tanzania, ndiyo maana huelewi, hujui huu ukwelihuu wote ni uongo wa hali ya juu na soon utaaibika sana kwa uongo wa namna hii
Hayo mambo makubwa mnayaonaga nyie peke yenu??Huyu Mama anafanya mambo makubwa sana na hakika ni rais smart sana,kwa wiki moja iliyopita mambo aliyofanya ni makubwa sana
Smart kwenye mfuko na tumbo lako?Huyu Mama anafanya mambo makubwa sana na hakika ni rais smart sana,kwa wiki moja iliyopita mambo aliyofanya ni makubwa sana
Na mambo mengine yanayoendelea na yaliyokinyume na Sheria kama utekaji!kwahiyo rais smart ni yule anayekemea walawiti sio?
Pamoja na kelele zote wakujinasibu kua mnaungwa mkono lakini mmekua mkimuhofia mpinzani wenu uoga unatoka wapi ile hali mnapendwa?Faida za mipango mikakati, maagizo na maelekezo yanayoamuliwa na kutolewa kutoka vikao vya ngazi za juu vya CCM, hususani taifa, yanafika bara-bara na yanatekelezwa vizuri kikamilifu sana, na kwa ufanisi mkubwa mno kwenye matawi na mashina ya CCM huku mitaani na vijijini. hili liko wazi kabisa, nadhani kila moja wetu anashudia mbilinge mbilinge zinazoendelea...
mathalani,
shauku, hamasa na ari waliyonayo wana CCM kujiandikisha kwaajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa baadae mwaka huu ilivyo juu, lakini pia jambo zuri zaidi, na la kutia moyo sana ni muitikio wa wananchi wengi zaidi hususani vijana, kuhamasika sana na kujisajili uanachama wa CCM..
vijana wamehamasika kiasi kwamba, mpaka wamefikia hatua ya kudai walau kwanza wapate akaunti namba tu za CCM, halafu kadi ziwe za kielektronic ama zisizo za kielektronic wazipate baadae aise,
mambo ni motroo kweli kweli..
hata hivyo,
yote haya yanapewa nguvu na kuchochewa na jitihada kubwa zenye matumaini makubwa sana, zinazofanywa na serikali sikivu ya awamu ya 6 chini ya mwenyekiti wa CCM taifa, comrade, Dr. Samia Suluhu Hassan, kipenzi cha waTanzania wote, na kutekelezwa kwa makini na uhakika mkubwa na timu mahiri mno ya kiutendaji, inayoongozwa na shupavu mchapakazi comrade Dr.Emmanuel Nchimbi katibu mkuu ccm taifa, CPA Amosi Makala muenezi taifa na waandamizi wengine katika kamati za kusimamia utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM kutoka katika jumuiya na idara mbalimbali za chama..
USHINDI WA KISHINDO NI LAZIMA CCM NA BILA CCM MADHUBUTI NCHI ITAYUMBA.
Kidumu Chama Cha Mapinduzi
hodi geita
tiririka yote tu vizuri comrade,Ni kweli kabisa !
Hats utekaji unafanywa kisayansi,pia Ubadhirifu was fedha plus Rushwa unafanywa kisayansi kabisa!
chama tawala hakiwezi kuhofia mayowe ya waliokosa uelekeao na wasio na malengo,Pamoja na kelele zote wakujinasibu kua mnaungwa mkono lakini mmekua mkimuhofia mpinzani wenu uoga unatoka wapi ile hali mnapendwa?
makubwa mengi yametendeka chini ya Rais samia na kuna watu wachumia tumbo wanapata nguvu ya kuja hapa kubeza kiukweli waja wanamambo sana... Ziara za KATAVI na MORO zimeonesha kwamba Rais Samia atashinda kwa kishindo mwaka 2025. Tunzeni hii kauli mtakuja kunikumbuka nawambiaFaida za mipango mikakati, maagizo na maelekezo yanayoamuliwa na kutolewa kutoka vikao vya ngazi za juu vya CCM, hususani taifa, yanafika bara-bara na yanatekelezwa vizuri kikamilifu sana, na kwa ufanisi mkubwa mno kwenye matawi na mashina ya CCM huku mitaani na vijijini. hili liko wazi kabisa, nadhani kila moja wetu anashudia mbilinge mbilinge zinazoendelea...
mathalani,
shauku, hamasa na ari waliyonayo wana CCM kujiandikisha kwaajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa baadae mwaka huu ilivyo juu, lakini pia jambo zuri zaidi, na la kutia moyo sana ni muitikio wa wananchi wengi zaidi hususani vijana, kuhamasika sana na kujisajili uanachama wa CCM..
vijana wamehamasika kiasi kwamba, mpaka wamefikia hatua ya kudai walau kwanza wapate akaunti namba tu za CCM, halafu kadi ziwe za kielektronic ama zisizo za kielektronic wazipate baadae aise,
mambo ni motroo kweli kweli..
hata hivyo,
yote haya yanapewa nguvu na kuchochewa na jitihada kubwa zenye matumaini makubwa sana, zinazofanywa na serikali sikivu ya awamu ya 6 chini ya mwenyekiti wa CCM taifa, comrade, Dr. Samia Suluhu Hassan, kipenzi cha waTanzania wote, na kutekelezwa kwa makini na uhakika mkubwa na timu mahiri mno ya kiutendaji, inayoongozwa na shupavu mchapakazi comrade Dr.Emmanuel Nchimbi katibu mkuu ccm taifa, CPA Amosi Makala muenezi taifa na waandamizi wengine katika kamati za kusimamia utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM kutoka katika jumuiya na idara mbalimbali za chama..
USHINDI WA KISHINDO NI LAZIMA CCM NA BILA CCM MADHUBUTI NCHI ITAYUMBA.
Kidumu Chama Cha Mapinduzi
hodi geita
watashupaza shingo ziwaume hadi zivunjike,makubwa mengi yametendeka chini ya Rais samia na kuna watu wachumia tumbo wanapata nguvu ya kuja hapa kubeza kiukweli waja wanamambo sana... Ziara za KATAVI na MORO zimeonesha kwamba Rais Samia atashinda kwa kishindo mwaka 2025. Tunzeni hii kauli mtakuja kunikumbuka nawambia