Utenguzi: Maharage Chande wa Posta, Ulanga wa TTCL na Justina Mashiba wa UCSAF watumbuliwa

Tengua teua Wala haisaidii sana nchi kukua kwa kuwa haitoi mwanya watu kuonyesha vipawa walivyopewa na Mungu
 
Nape kawaponza wenzake, nahisi yeye ndio aliyewashinikiza wampongeze, wao kwa hofu, ukizingatia wanasiasa huwa wanasameheana, wakawaza Siku akirudishwa itakuwaje? Wakalazimika kumpongeza, ikala kwao.

Mbona January hajapongezwa, nape kafanya hovyo
 
Tengua teua Wala haisaidii sana nchi kukua kwa kuwa haitoi mwanya watu kuonyesha vipawa walivyopewa na Mungu
Hapana mzee,
Kwenye nchi inabidi kuwe na zero tolerance policy ili muendelee, ukizingua toka aje mwingine, tupp wengi, sio lazima nafasi zishikwe na wachache
 

Kuna wakati mtu mmoja alisema serikali isitishike kuhusu madai ya wafanyabiashara. Watafungua tu maduka. Kumbe serikali inapewa dhamana na watu.
Ikiacha kuwasikiliza walio wengi inataka majanga. Lazima serikali ikae macho siku zote. Kuwa kiongozi sio kwamba ndio mtu special. Ufanye unavyojisikia.
Pole sana kwa waliorudi benchini. Ubabe unafanya nyumbani kwako tu, sio kwenye ofisi za umma.
 
Mkuu,

Maharage umejuana naye tangu wapi? Umeongea naye hivi karibuni?
 
Najiuliza ni kama tupo shule ya msingi

Mwalimu mkuu anateua viranja wapya kila week

That could be a chaotic school

Hawa watu wanashindwa kutumia simple analogue

Wanaweka nchi kwenye chaotic state

Why ?

Kwamba wao ni mabingwa wa siasa

Hii work ya Tiss if it is their work wanazidi ku prove nachosema kuhusu Tiss

Such an imbecile organisation
 
Anaenda Kwa step
 
Yaani Mwenyekiti wa Bodi anaondoka na Mtendaji wake Mkuu. Hii ni hatari, pana jambo hapo!!!
 
Binadamu ni kiumbe anaebadilika, kwa hio wakibadilika tuwaache ?
 
Mnacho kishuhudia ni tofauti na plan za wenye nchi 2025......chenga ya mwili hiyo.... Endeleeni kushangilia.... 🀣
 
Nape kaandika hili bango kisha akawatumia
 
Asiyemkubali mama akapimwe akili, tulimuona mpole au haelewi kinachoendelea kumbe yupo zaidi ya makini mama ana kura yangu na ukoo wangu
Mimi, nikiwa kama mwenyekiti wa ukoo natamka yafuatayo-kwanza kabisa huruhusiwi kutoa tamko,maagizo,wala kutoa amri yoyote kwa niaba ya ukoo, pili, bado utabakiwa na haki ya kutoa maoni nje ya vikao rasmi vya ukoo,,hata hivyo maoni yako hayatazingatiwa isipokuwa kwa ridhaa yangu tu,tatu, maagizo,maamuzi,amri, na chochote ulichoamua kwa niaba ya ukoo, kuanzia tarehe hii ya leo kitachukuliwa kama null and void,hayatatambulika wala kuzingatiwa na wana ukoo, vilevile, kamati tendaji ya ukoo itakutana haraka iwezekanavyo kwa hatua zaidi dhidi yako.

Mwenyekiti wa ukoo.
 
Asiyemkubali mama akapimwe akili, tulimuona mpole au haelewi kinachoendelea kumbe yupo zaidi ya makini mama ana kura yangu na ukoo wangu
Mimi, nikiwa kama mwenyekiti wa ukoo natamka yafuatayo-kwanza kabisa huruhusiwi kutoa tamko,maagizo,wala kutoa amri yoyote kwa niaba ya ukoo, pili, bado utabakiwa na haki ya kutoa maoni nje ya vikao rasmi vya ukoo,,hata hivyo maoni yako hayatazingatiwa isipokuwa kwa ridhaa yangu tu,tatu, maagizo,maamuzi,amri, na chochote ulichoamua kwa niaba ya ukoo, kuanzia tarehe hii ya leo kitachukuliwa kama null and void,hayatatambulika wala kuzingatiwa na wana ukoo, vilevile, kamati tendaji ya ukoo itakutana haraka iwezekanavyo kwa hatua zaidi dhidi yako.

Mwenyekiti wa ukoo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…