Utenguzi: Maharage Chande wa Posta, Ulanga wa TTCL na Justina Mashiba wa UCSAF watumbuliwa

Only baba yake Magabe ndo imeniuma, I personally know him.
 
mtendaji mkuu alikuwa ni kiazi, period
Ila chakujiuliza kwanini wote hao na kwapamoja hapo bado wapo ambao hawakuguswa,kuna nini,walikuwa na bond nzito sanaa au kukataa matokeo ya uamuzi uliofanywa.Vinginevyo nitafananisha na siasa za taifa moja kiuubwa duniani,Baada ya babu kutema bungo wapo viongozi washirika wanufaika wa babu walituma salamu za pongezi,isije kuwa ni kuponzwa na copy&paste?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…