UTEUZI: Chama cha Mapinduzi chateua Makatibu katika Mikoa 32 na Wilaya 168

Naona comrades wengi wana majina ya kiarabu au ndio kusema chama kina wenyewe na wenyewe ni watu wa mtaa wa Gerezani na Kariakoo kwa alhadji Mohamed Said?
Kipindi kile mlijaza wasukuma tulieni
 
Sijaelewa kitu lakini sawa
 
wapambanaji
 
But hii ni siri za chama mkuu
Sawa Lkn inajulikana.Mfano miaka minne iliyopita niliwahi kusikia kuwa Makatibu wa CCM ngazi ya Wilaya wanalipwa Mshahara wa Tshs.800,000/=, Kwa mwezi, kipindi cha uchaguzi ndo huwa wanakula pesa balaa.
 
Imenyekwa na makatibu, kama hazijaishia kwenye midomo na matumbo yao sijui
 
Kazi kazi
 
URAIS kwa KATIBA HII aliyoisema HAYATI BABA WA TAIFA kuwa ni MBOVU ni MTAMU SANA
 
URAIS kwa KATIBA HII aliyoisema HAYATI BABA WA TAIFA kuwa ni MBOVU ni MTAMU SANA
 
Mama si ashasema atakuwepo kwa Debe anapanga safu na kuo doa ule uchafu wa mwendazake
 
Hongereni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…