Uteuzi: January Makamba ateuliwa kuwa Waziri wa Nishati. Ndugulile, Kalemani, Chamuriho na AG Kilangi watenguliwa, Feleshi ateuliwa


Elezea madhaifu yao ,
 
Kwa jicho la tatu unahisi huyu anaweza kumkontrol msukuma au ile "ndio mkuu"[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Huyu Tax haendi kuwapangia hao wanajeshi la kufanya..huyo anaenda kulink maslahi yao na Serikali,huku pia Wizara iki-solve ishu ndogondogo ambazo zinahusisha jeshi na Wizara nyingine..Ni mwakilishi tu.
 
Yale yale kusafisha choo kwa mkojo.
 
Kalemani hakuwa anajua anafanya nini. Ni ubabe tu usio na sababu
 
Hatuhitaji kumwaga damu ili kuwapa raia kile wakitakacho. Maccm hayana mapenzi na Tanzania na Watanzania ndiyo sababu yanagomea haya mabadiliko chanya ambayo yataleta mabadiliko makubwa sana nchini.

Miaka 30 ya mfumo wa vyama vingi lakini bado tuna katiba ya chama kimoja!

Na hali hii ndiyo inayochangia sana nchi yetu kukosa maendeleo ya kweli kwa miaka 60 sasa tangu tupate uhuru.

 
Wizara zote nyeti wamepewa wanawake, afya ,ulinzi, tamisemi, elimu,[emoji18][emoji18]mwigulu namshauri aachie wizara ya fedha mapema[emoji33][emoji33]
 
Huyo kaharibu kwenye madini siku nyingi tu alikuwa anabebwa sababu ya Jiwe.

Hawa wote walitemwa wamaharibu sana wizara zao walikuwa wanatembelea nyota ya jiwe lakini hamna kitu.

Wapo na wengine soon watapata haki yao.

Na mama yetu Rais. Alifikaje Hapo. Huwa mnakuwa wapumbavu mpaka Mnaacha kufikiria. Siasa Ni mipango. Sio vyote vitakuwa kwa faida yako. Usipende sana mambo mapya bali penda kazi na malengo.


Mana Samia Ni Rais wa JMT. Alipata kuwa Mgombea mwenza wa JPM. Na Sasa ndo Mkuu wetu. So Team ya Kikwete ni ya CCM. Team ya JPM ni CCM na Team ya JPM ndo imetoa Mama yetu. Ana malengo na maono yake. Tumwache afanye kazi. Hapa mitandaoni ni mahali Pa domokaya
 
Mkuu hii jF imejaa watu wenye mawazo ya kibodaboda hadi kero.

Huwa najaribu kifikiria ni nini maana ya mtu kuweka maswala ya teams katika uongozi ila huwa sipati majibu kabisa.Huyo makonda aliwekeza na Jk ila utasikia alikuwa ni mtoto wa JPM kwakua tu ni msukuma, wanahubiri ukabila ilihali wao ndo wameutanguliza mbele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…