Megalodon
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,534
- 7,866
Ni Uteuzi wa Kimkakati zaidi na bahati nzuri wote walioteuliwa ni Watu makini na wachapakazi pia kwani hata Rekodi zao za Kiutendaji hapo kabla zinajieleza na Kuridhisha.
Kurejeshwa kwa Mbarawa nimefurahi na pia kuihamishia Idara ya Maelezo katika Wizara ya Mtaalam Makamba ni Jambo jema kabisa.
Kuondolewa kwa Kalemani ni Uthibitisho rasmi kuwa sasa Mabaki ya Hayati Rais Dkt. Magufuli na yaliyokuwa hayagusu yameshaondolewa na hata Kuvunjwa nguvu ya Kiushawishi ndani ya CCM na Serikali.
Uwaziri wa Dkt. Tax kwa hiyo Wizara Muhimu Kiulinzi na Kiusalama nchini ni Heshima kwa Wanawake na Imani Kubwa Kwao ila kama sijakosea nadhani ndiyo mara ya Kwanza mwa Mwanamke kuteuliwa hapo.
Wote waliotenguliwa walikuwa dhaifu.
Elezea madhaifu yao ,