Ndio unaendelea una uteuzi wa mwanasheria mkuu wa serikaiMbona barua haina signature au mkeka unaendelea page ya pili?
Fighting back...!Ushuzi wa Utopolo
Ulinzi kachemshaMh Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kafanya uteuzi wa Baraza la Mawaziri,nakuwatoa baadhi ya Mawaziri!
1. Fautine Ndugulile katolewa na nafasi yake inachukuliwa na Dr Ashantu Kijaji!
2. Waziri wa Ujenzi ni Mh Mbarawa
3. Waziri wa Nishati ni Mh January Makamba na nafasi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali ni Dr Eliezer Feleshi,pia Waziri wa Ulinzi ni Dr Tax
Sijaelewa mkuuNilijua kwa kalemani....huo mchezo wao walioufanya umemkost..bado majaliwa maana nae ana mkono katika hili
Mchezo upi boss? Hapo kwa kalemani hangaya kayumbaNilijua kwa kalemani....huo mchezo wao walioufanya umemkost..bado majaliwa maana nae ana mkono katika hili
Mkuu kutoka na jinsi ilivyoondikwa hiyo kitu nikajua jamaa kapachika pachika tu ye mwenyewe kumbe kweli bwana! Kurugenzi ya Habari Ikulu ina art chafu vile..!!!Fighting back...!
Enzi za ndiyo mzee kila kitu theoretically kiliwezekana.Kalemani amechomoka kisa siasa chafu. Hapo katolewa kisa issue ya umeme kulipia 27,000/- kwa wateja wa aina zote.
Hiyo ilikuwa unfeasible kabisa hata sisi ma layman tuliliona hilo. Ni issue ambayo haiwezekani.
Totally unfit for the positionDRtax ameteuliwa kuwa waziri wa ulinzi
kilichomtoa ndugulile ni nini sasa?