Uteuzi: January Makamba ateuliwa kuwa Waziri wa Nishati. Ndugulile, Kalemani, Chamuriho na AG Kilangi watenguliwa, Feleshi ateuliwa

Uteuzi: January Makamba ateuliwa kuwa Waziri wa Nishati. Ndugulile, Kalemani, Chamuriho na AG Kilangi watenguliwa, Feleshi ateuliwa

I think we are missing back ups, alivyofariki Mh Kuandikwa imeshindikana kureplace kutoka kundi la wabunge waliopo mpaka akatafutwa nje yao. Nashauri watu mbadala wawe wanaandaliwa katika hizi nafasi kubwa.
WAZIRI wa ulinzi sio nafasi ya yeyote Mkuu. Yapo mambo ambayo ni above our pay grades
 
Kazi iendeleee, Hongereni Waheshimiwa kwa kuteuliwa Mh. Rais ana mategemeo mengi kutoka kwenu chamsingi msimuangushe.
 
Kweli vyeo vya kupewa siyo vya kujivuna navyo sana mpaka kuwasahau wananchi kwa kuwaletea sera kandamizi
 
1439787D-501F-47F6-90C5-E6042019BD4F.jpeg
Huyu yeye lini?
 
Back
Top Bottom