Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Mb ZimemuondoaNdugulile anatenguliwa tu š
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mb ZimemuondoaNdugulile anatenguliwa tu š
Huyu jamaa anamhujum sana hangaya...View attachment 1935277Huyu yeye lini?
Wewe pimbi hiyo page ya kwanza inayo signature?Utasubiri sana signature!
Nafasi kubwa kwako ni ipi?I think we are missing back ups, alivyofariki Mh Kuandikwa imeshindikana kureplace kutoka kundi la wabunge waliopo mpaka akatafutwa nje yao. Nashauri watu mbadala wawe wanaandaliwa katika hizi nafasi kubwa.
Hadi yule bibi afeMwigulu anawacheki hafu anasema hiiiiii baghosha.
Unataka kusema Waziri ana maamuzi mbele ya Rais wa nchi!!???Nauona mradi wa mwalim nyerere unaenda kufa makamba alikua anaupinga sana ule mradi akiwa waziri wa mazingira
Utazoeya TU!Udini
Mchezo gan mkuu?Nilijua kwa kalemani....huo mchezo wao walioufanya umemkost..bado majaliwa maana nae ana mkono katika hili
Alitetea sana upuuzi wa bando, let him go[emoji849]Ndugulile anatenguliwa tu [emoji205]
Haiwezekani wateja kulipia 27 elfu kuunganishwa ? mbona hata bure inawezekana ? Ukizingatia mita na nguzo ni mali yao na kuunganishwa watu wanapata faida zaidi ya watumiaji unadhani baada ya Bwawa la Nyerere kumwaga hizo megawatt tutazipeleka wapi ?Kalemani amechomoka kisa siasa chafu. Hapo katolewa kisa issue ya umeme kulipia 27,000/- kwa wateja wa aina zote.
Hiyo ilikuwa unfeasible kabisa hata sisi ma layman tuliliona hilo. Ni issue ambayo haiwezekani.