Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Ndio ilikuwa maana yangu hiyo mkuu.Kwani mkuu bei hiyo waziri ndio anapanga?tatizo lake ni kila kitu kuingiza siasa, tanesco kuna lundo la matatizo yeye anayatolea matamko ya kisiasa tu na mwisho wa siku hayatekelezeki!!!
Lini iliwahi kuwa hivyo? Majungu tu!Mungu yu mwema aisee ,Mama piga kazi ,uliona wapi tangia uhuru zaidi ya nusu ya baraza la mawaziri ni kabila moja ,tena mama naona kaamua kuwaacha tu wengine waendelee ,angesafisha wote ,hii nchi ni yetu wote ,Asante saaana Rais wetu mpendwa
Muwe basi mnafananisha vitu ambavyo angalau viko kwenye level moja.Haiwezekani kvp. Ujerumani maji bure ila wewe utasrma maji bure haiwezekani
TEUZI NYINGINE KUBWA KUTOKA MSOGA....TULIANZA NA MAKALA.....MTATUELEWA TARATIBURais Samia Suluhu kafanya mabadiliko madogo kwenye baraza la Mawaziri na mwanasheria mkuu wa Serikali kama ifuatavyo
- Rais Samia Suluhu amemteua Dkt. Stergomena Tax kuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa, anachukua nafasi ya marehemu Elias Kwandikwa
- Dkt. Ashatu Kijaji ameteuliwa kuwa waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya habari kuchukua nafasi ya Dkt. Faustine Ndugulile ambae uteuzi wake umetenguliwa
- January Makamba anachukua nafasi ya Merdard Kalemani wizara ya Nishati
- Makame Mbarawa anachukua nafasi ya Chamuriho wizara ya ujenzi na uchukuzi
- Dkt. Feleshi anachukua nafasi ya Kilangi kuwa Mwanasheria mkuu wa Serikali
View attachment 1935268
View attachment 1935270
Usiende mbali sana, Kenya hapo waziri wa ulinzi ni mwanamkeHivi Kuliwahi kuwa na Waziri Wa Ulinzi Mwanamke Duniani? Nikumbushe Mtani Mshana
Anaitwa NaniUsiende mbali sana, Kenya hapo waziri wa ulinzi ni mwanamke
Hivi Kibajaji hawamuoni miaka 20 bungeni hajawahi hata kuwa naibu,wapinzani waliohamia ndani ya miezi kadhaa wakapewa uwaziriI think we are missing back ups, alivyofariki Mh Kuandikwa imeshindikana kureplace kutoka kundi la wabunge waliopo mpaka akatafutwa nje yao. Nashauri watu mbadala wawe wanaandaliwa katika hizi nafasi kubwa.
Ushuzi kwakua nimesema Jk alikuwa mwizi pia?Umeandika ushuzi
Hata Tanesco Hawapangi Bei ya Umeme, Bei Ya Umeme Inapangwa na EwuraKwani mkuu bei hiyo waziri ndio anapanga?tatizo lake ni kila kitu kuingiza siasa, tanesco kuna lundo la matatizo yeye anayatolea matamko ya kisiasa tu na mwisho wa siku hayatekelezeki!!!
We unadhani kila mtu ana njaa kama wewe sio? Najua njaa ndo zinakufanya usijikie vibaya kuona meme wako makamba anasema vibaya.Ukimkubali wewe mkewe inatosha, sio lazima wote tumkubali.Chuki za waziwazi... mlaumu BABAKO kwa kukufanya kuwa mtoto wa mitaani. Acha chuki
Balozi Monica Juma.Anaitwa Nani
Hata mimi imenishangaza hii mkuu! Hadi mtu anamaliza kipindi chake huko nje, anarudi tu anabandikwa ubunge na uwaziri hapo hapo baada ya kuapa ubunge!!!! CCM wajitafakari! Kundi lote hilo hakuna mbadala wa Marehemu Kwandikwa?I think we are missing back ups, alivyofariki Mh Kuandikwa imeshindikana kureplace kutoka kundi la wabunge waliopo mpaka akatafutwa nje yao. Nashauri watu mbadala wawe wanaandaliwa katika hizi nafasi kubwa.
ZAMU YA KASKAZINI MTAOMBA PPOOOOKama alivyokuwa anafanya JPM kujaza Kanda ya ziwa,Biteko,Kalemani,Kingwangala,Mpina,Mabeyo,Siro,wakala nchi weeee,
Sasa ni zamu ya wengine kula,lakini wote si watanzania,hakuna shida,kutesa kwa zamu
Hivi Kuliwahi kuwa na Waziri Wa Ulinzi Mwanamke Duniani? Nikumbushe Mtani Mshana
Ulinzi & urais (mchemsho)Ulinzi kachemsha
Kila siku wana kazi ya kubadili sheria na kutunga visheria vipya huko bungeni, wanajifanya hawaelewi kuwa katiba ni kuu kuu inapaswa kubadilika!Hatuhitaji kumwaga damu ili kuwapa raia kile wakitakacho. Maccm hayana mapenzi na Tanzania na Watanzania ndiyo sababu yanagomea haya mabadiliko chanya ambayo yataleta mabadiliko makubwa sana nchini.
Miaka 30 ya mfumo wa vyama vingi lakini bado tuna katiba ya chama kimoja!
Na hali hii ndiyo inayochangia sana nchi yetu kukosa maendeleo ya kweli kwa miaka 60 sasa tangu tupate uhuru.