Boniphace Bembele Ng'wita
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 3,475
- 1,860
Kunatatizo kubwa Sana Sana kwa taasis, ama madam hajaenea vzr au anaongozwa na watu ambao wanamwendesha kimawazo au anasukumwa na jenda issues,Huyu mshauri wa Rais inabidi apimwe aisee, japo tupo nje ya mfumo lakini kwa aina ya mpangilio wa wasaidizi wake unatia shaka sio kidogo.
Lakini acha tuone yaliomo yamo?
Sasa unamtoa kwel kalamani et unatengua uteuzi wake, au ndugulile is she seriously?? Hii nchi imekosa kwel watu wakumwambia madam hili hapana unakosea;, kwel wazir wa ulinz unamweka tax??