Uteuzi: January Makamba ateuliwa kuwa Waziri wa Nishati. Ndugulile, Kalemani, Chamuriho na AG Kilangi watenguliwa, Feleshi ateuliwa

Uteuzi: January Makamba ateuliwa kuwa Waziri wa Nishati. Ndugulile, Kalemani, Chamuriho na AG Kilangi watenguliwa, Feleshi ateuliwa

Tena sana! Yaani huyu Maza awe anapewa salute na kina Mabeyo?? Anyway kwa kuwa Waziri wa Ulinzi ni kama pambo tu, mwenye say ni CDF kunako wizara yao
Kwan Mabeyo hampi Salute Samia , hawapi salute mawaziri wanawake wakina Ummy?
 
Ukiondoa uteuzi wa waziri wa Ulinzi, tengutengua zingine zinahitaji maelezo ili wananchi waelewe.

Yaani serikali yajifanyia mambo yake inavyoona inafaa huku ikisalimu amri kwa mashinikizo kutoka upande ule.

Pole nyingi ziwaendee watanzania wanyonge.
 
Mh Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kafanya uteuzi wa Baraza la Mawaziri na kuwatoa baadhi ya Mawaziri!
1. Fautine Ndugulile katolewa na nafasi yake inachukuliwa na Dr Ashantu Kijaji!
2. Waziri wa Ujenzi ni Mh Mbarawa
3. Waziri wa Nishati ni Mh January Makamba na nafasi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali ni Dr Eliezer Feleshi,pia Waziri wa Ulinzi ni Dr Tax
Kwahiyo kesho usafiri hawana!! Life is unpredictable
 
As long as Mwigulu bado yupo kwenye Baraza, naweza kusema hii haitoshi.

Halafu hawa kina Makamba ndio watu pekee wa kuwa mawaziri? Ni kweli wanawazidi wenzao uwezo au ni influence tu za wazazi wao ndio zinawafanya wapate kipaumbele?

Kama si hivyo, basi ni wazi CCM kuna ombwe kubwa la watu wanaofaa kuwa viongozi katika hii nchi.

Watanzania tuendelee kudai Katiba mpya tupate watu wapya kuongoza hii nchi kwani hata hawa walioenguliwa bado kesho wanaweza kurudi tena katika Baraza la Mawaziri.

Chama kilekile, watu walewale (wanaachiana tu viti) na matokeo yake maisha ya watanzania yanabaki kuwa yale yale miaka nenda, miaka rudi.

Pathetic!
Feleshi kuwa AG nayo ni mambo ya kutia aibu sana ! hivi hakuna wengine ?
 
Huyo Doc Faustine alipwaya hiyo wizara iliyoanzishwa kisiasa na jiwe yani kutoka stethoscope hadi mambo ya WLAN kweli nchi imechezewa sana na CCM.

Ni under utilization ya resources yani nchi ikakosa wataalam wa tehama hadi tabibu akae kwenye tehama?
 
Ulinzi kachemsha
Ulitaka awe Mwanaume?? Huyo mama ni Mbobezi wa masuala kibao. Juu ya hilo waziri wa ulinzi hana madaraka makubwa maana amri kuu zote hutolewa na Rais ni kama waziri wa mambo ya ndani.
 
Huyo Doc Faustine alipwaya hiyo wizara iliyoanzishwa kisiasa na jiwe yani kutoka stethoscope hadi mambo ya WLAN kweli nchi imechezewa sana na CCM.

Ni under utilization ya resources yani nchi ikakosa wataalam wa tehama hadi tabibu akae kwenye tehama?
Huyu arudi kwenye medical professional yake
 
Back
Top Bottom