Uteuzi: January Makamba ateuliwa kuwa Waziri wa Nishati. Ndugulile, Kalemani, Chamuriho na AG Kilangi watenguliwa, Feleshi ateuliwa

Sasa Ndungulile amefanya nini kwenye hiyo wizara?
 
Haiwezekani wateja kulipia 27 elfu kuunganishwa ? mbona hata bure inawezekana ? Ukizingatia mita na nguzo ni mali yao na kuunganishwa watu wanapata faida zaidi ya watumiaji unadhani baada ya Bwawa la Nyerere kumwaga hizo megawatt tutazipeleka wapi ?
Mkuu cost sharing... huwezi sambaza umeme BUREEEE
 
Viroja hivi!!!! Mbona hukuwahi kuhoji teuzi za dhalimu mwendazake? Na hizi teuzi za leo zimefanywa na Chifu Hang ya au lile kundi la wahuni alilolisema Chakubanga?
Teuzi zile nilikuwa nazitafakari bila kuandika hapa.
 
Nafasi kubwa kwako ni ipi?

Kama wabunge wenyewe ndio hao wasiojielewa.

Ndiyo maana watu wanataka katiba ili hicho unachotamani kifanyike kwa weledi.

Kuna nafasi zitoke ktk kundi la watanzania sio eti hadi uwe mbunge.
Zile nafasi 10 za wabunge wa kuteuliwa zililenga pia kuwapata watu makini nje ya wabunge wa majimboni but ndiyo hivyo tenaa...
 
I think we are missing back ups, alivyofariki Mh Kuandikwa imeshindikana kureplace kutoka kundi la wabunge waliopo mpaka akatafutwa nje yao. Nashauri watu mbadala wawe wanaandaliwa katika hizi nafasi kubwa.
Waliopo wengi wana njaa ya uraisi chifu Hangaya kaona itamletea shida
 
Huyo mwanasheria ametolewa kwa sababu ameshiriki sn kutenfeneza mashitaka hewa ya Mbowe.Na hana ushauri sahihi kwa serikali mpaka kupelekea kuichonganisha serikali na wananchi na kuongeza uhasama
 
Na teuzi hizi ungetafakari kimya kimya Mkuu INGEPENDEZA!!! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hapana, safari hii CCM kuna tatizo kubwa ambalo ni vigumu wao kama wao kulitatua.

Nchi yaenda tu hadi 2025 ila CCM itambue kuwa mgombea wa 2025 si wa kutoka bara maana tayari wameagizwa mambo yaende vipi.
 
Hakuna viumbe dhaifu Kama kina mama broo, unaona tunavyo yumba sa Iv?? Kama gari limekata center bolt..
Unapima kuyumba ukilinganisha na awamu gani?

Watanzania tuache upumbavu..viongozi wetu wengi ni substandard na wengi below standard na hii ni kwa miaka na miaka..hii ya kujifanya sijui tunayumba sasa hivi ni unafki tu na upumbavu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…