Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamuulize yule mwalimu aliyekataa uDCMtu akikataa haya mauteuzi yasiyo na tija inakuwaje?
Maana huyu mama naona kama hajielewi vile?
Uonevu tu.Kamuulize yule mwalimu aliyekataa uDC
Ameiitwa arudi akaandae mtaala wa darasa la 5B....
Dua la kuku....Uonevu tu.
Maharage yakichemka lazima yaruke ruke tu mara dstv, mara tanesco, mara ttcl, mara posta masta, mara atapangiwa kazi nyingine. Mara kimeoRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi kama ifuatavyo:
Amemteua Bw. John Ulanga kuwa Balozi. Bw. Ulanga ni Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF).
Amevunja Bodi ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na amemteua Balozi Meja Jenerali Mstaafu Jacob Gideon Kingu kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA).
Amemteua Bw. Maharage Chande kuwa Postamasta, Shirika la Posta Tanzania. Kabla ya uteuzi huu Bw. Chande aliteuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL). Bw. Chande anachukua nafasi ya Bw. Macrice Daniel Mbodo ambaye atapangiwa kazi nyingine.
Aidha, Mhandisi Peter Ulanga ataendelea kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL).
Hivi Maharage alsomea kitu gani.Akaboreshe huduma za kutuma parcel na mizigo mikubwa. Fuso,Canter na Scania 113 za Posta zitoke wanunue Gari za kisasa za kusafirisha parcel mikoani.
Na customer care waboreshe kwenye kupokea na kutuma parcel, kwa majiji makubwa waweke gari ndogo na pikipiki za kufanya delivery kama wenzao DHL
Hapo unamaanisha K Vant!?
yes,Kwa ajili ya Misa nyingine sio? By the time mnamaliza mkitoka nje unapewa taarifa mandondo atapangiwa kazi nyingine.
Nimekuelewa sana.Liwapo kwenye maji boya huwa linaeleaelea likienda huku na kule kutegemeana na mawimbi na upepo, lakini lenyewe huwa halina mwelekeo wala maamuzi.
Ukiona linazama ujue limevutwa kuzamishwa, likiibuka ujue limeachiwa, likianza kwenda kutoka lilipo ujue linapelekwa, likirudi ujue linarudishwa and the story goes on just like that.
🤣🤣Ili kupata uteuzi itabidi nihame taasisi naona sionekani.
Tuache unafiki kila mtu anahitaji kulamba asali zaidi.
🤣🤣Posta Masta mkuu ndiyo sawa na Mwalimu mkuu?
Aisee..Liwapo kwenye maji boya huwa linaeleaelea likienda huku na kule kutegemeana na mawimbi na upepo, lakini lenyewe huwa halina mwelekeo wala maamuzi.
Ukiona linazama ujue limevutwa kuzamishwa, likiibuka ujue limeachiwa, likianza kwenda kutoka lilipo ujue linapelekwa, likirudi ujue linarudishwa and the story goes on just like that.
Tuna uongozi wa hovyo sana kuwahi kutokea tangu uhuruRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi kama ifuatavyo:
Amemteua Bw. John Ulanga kuwa Balozi. Bw. Ulanga ni Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF).
Amevunja Bodi ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na amemteua Balozi Meja Jenerali Mstaafu Jacob Gideon Kingu kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA).
Amemteua Bw. Maharage Chande kuwa Postamasta, Shirika la Posta Tanzania. Kabla ya uteuzi huu Bw. Chande aliteuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL). Bw. Chande anachukua nafasi ya Bw. Macrice Daniel Mbodo ambaye atapangiwa kazi nyingine.
Aidha, Mhandisi Peter Ulanga ataendelea kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL).
MastaPosta masta anafanya kazi gani?
Ana dalili za ......insane.Samia anatuchanganya