Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,318
- 8,464
Lucas mwashambwa unazungumziaje uteuzi huu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana ni kisa tu.Unazungumzia Mr mdimu?
Umeandikaa Kwa uchungu sana aiseé [emoji23][emoji23][emoji23] una connection mkuu ww endeleaa kupambana tu ,samia anawapa ulaji aliotoka nao mbalii..[emoji23][emoji23][emoji23]hivi Samia mimi hunioni au kunifikria tu?
Samia kuwa na huruma basi nimekupigania sana.
Kuchangamusha genge mkuu..Umeandikaa Kwa uchungu sana aiseé [emoji23][emoji23][emoji23] una connection mkuu ww endeleaa kupambana tu ,samia anawapa ulaji aliotoka nao mbalii..[emoji23][emoji23][emoji23]
Ana Mtoto wake anaitwa Dully vip akulengeshee uwe Mkwe wake?hivi Samia mimi hunioni au kunifikria tu?
Samia kuwa na huruma basi nimekupigania sana.
Nta ajiri makuli hivi karibuni. Dalali Maulid Kitenge atawapa maelekezo.boss la DP world toa ajira kwa vijana acha blah
Wkt haujafikaa mkuu,au labda hapo karibu na chamaa Cha kijani ndio maanaa kupata n ishuKuchangamusha genge mkuu..
wanatunyima teuzi hata za Udc nakosa
unamaana gani?Ana Mtoto wake anaitwa Dully vip akulengeshee uwe Mkwe wake?
Naweka nia mkuu.Wkt haujafikaa mkuu,au labda hapo karibu na chamaa Cha kijani ndio maanaa kupata n ishu
Toka kipindi cha Mkwere ule ukoo wa Kijazi ulikuwa topNa mimi nataka nibadilishe jina niitwe ukoo wa Ulanga. Naona wote wameteuliwa.
Zamani zama za jiwe tuliwahi kuwa na ukoo wa Kijazi. Kila teuzi nyeti walikuwepo
Ndio kusema MAHARAGE cheo kimepanda au kimeshuka?
[emoji7]Matunda ya Expo2020 Dubai
Tanzania yapata neema ya Trilioni 17 Dubai EXPO
...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ni kuvurugana akili tu, wamemvuruga hadi mleta uzi kaja kuufungulia huku International Forum
Ponda ponda street ...[emoji1787][emoji1787]Hana lolote,anakumbatia vipenzi wake.
FutuhiiiiiiRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi kama ifuatavyo:
Amemteua Bw. John Ulanga kuwa Balozi. Bw. Ulanga ni Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF).
Amevunja Bodi ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na amemteua Balozi Meja Jenerali Mstaafu Jacob Gideon Kingu kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA).
Amemteua Bw. Maharage Chande kuwa Postamasta, Shirika la Posta Tanzania. Kabla ya uteuzi huu Bw. Chande aliteuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL). Bw. Chande anachukua nafasi ya Bw. Macrice Daniel Mbodo ambaye atapangiwa kazi nyingine.
Aidha, Mhandisi Peter Ulanga ataendelea kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL).