UTEUZI: Maharage Chande aondolewa TTCL, ateuliwa kuwa Postamasta, Ulanga arudishwa TTCL

Maharage yakichemka lazima yaruke ruke tu mara dstv, mara tanesco, mara ttcl, mara posta masta, mara atapangiwa kazi nyingine. Mara kimeo
 
Kuna mamba humu alisaga kunguni.
Msimlaumu samia mengine hayajui. Muwe mnamuambia
 
Hivi Maharage alsomea kitu gani.
Kwenye TV yumo
Kwenye umeme yumo
Kwenye simu yumo
Na Sasa kwenye logistics ndio kabisa.
 
Kwa ajili ya Misa nyingine sio? By the time mnamaliza mkitoka nje unapewa taarifa mandondo atapangiwa kazi nyingine.
yes,
paroko atashangaa sana 🤣
Nahis paroko atamtia moyo atamwambia haya ni majaribu usiogope,
ñjoo uungame kwanza kuna kitu hovyo umefanya pale Tanesco hujaungama, embu ñjoo ungame!!

sasa sijui mandondo atakubali kuungana au atamsingizia mwezi wa kwanza?😜
 
Nimekuelewa sana.
 
Aisee..
 
Tuna uongozi wa hovyo sana kuwahi kutokea tangu uhuru
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…