kimbendengu
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 6,716
- 12,116
angalia hapo kwenye meja jenerali kumbe wanajeshi woooooote wanakadi za CCM.Samia anatuchanganya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
angalia hapo kwenye meja jenerali kumbe wanajeshi woooooote wanakadi za CCM.Samia anatuchanganya
Harage la Mbeya ni maji mara moja! La wapi hili linachukua muda na umeme mwingi hivyo kuwiva? Teh!Maharage anarushwa rushwa mpaka aive
🤣 Zuhura Yunusi mwambie mama asifanye ukatili huu wa kisaikolojia.
... wakina Mkuuchoka ...Vetting zero hamna kitu hapa.
Kibaya zaidi mazee yaliochoka akili bado yanawekwa
Beans Chande mtaalamu wa Finance na Promotions.
Huyu Rais alikotoka mungu anajua🤣🤣🤣🤣. Ni kituko kila siku.
Unitag..Msaada wakuu;
Posta master mkuu anaishije ofisini na anafanya nini?
Kasheshe aiseeRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi kama ifuatavyo:
Amemteua Bw. John Ulanga kuwa Balozi. Bw. Ulanga ni Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF).
Amevunja Bodi ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na amemteua Balozi Meja Jenerali Mstaafu Jacob Gideon Kingu kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA).
Amemteua Bw. Maharage Chande kuwa Postamasta, Shirika la Posta Tanzania. Kabla ya uteuzi huu Bw. Chande aliteuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL). Bw. Chande anachukua nafasi ya Bw. Macrice Daniel Mbodo ambaye atapangiwa kazi nyingine.
Aidha, Mhandisi Peter Ulanga ataendelea kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL).
Hapo unamaanisha K Vant!?Nashukuru kwa kusikiliza maoni juu ya Eng. Peter Ulanga. Nakushauri punguza KV kumbuka unaongoza nchi ya watu takribani 60 mil. Asante
Huyo MAHARAGE inaonekana kuna watu wanataka aendelee kuwepo hata kma hana uwezo.