UTEUZI: Maharage Chande aondolewa TTCL, ateuliwa kuwa Postamasta, Ulanga arudishwa TTCL

UTEUZI: Maharage Chande aondolewa TTCL, ateuliwa kuwa Postamasta, Ulanga arudishwa TTCL

Amemteua Bw. Maharage Chande kuwa Postamasta, Shirika la Posta Tanzania. Kabla ya uteuzi huu Bw. Chande aliteuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL). Bw. Chande anachukua nafasi ya Bw. Macrice Daniel Mbodo ambaye atapangiwa kazi nyingine
Mshale umepitiliza nyumbani mpaka kwa jirani
 
Maharage seems to be a failed man. Why then the appointee dont dump him into a TRUSH BIN??

Hii katiba yetu licha ya kwamba inampa mamlaka makubwa sana Rais, lakini at the same time inamfanya aonekane ni mtu wa KUPUYANGA.
 
Ni upuuzi tu nchi nzima. Kama manyani vile juu ya miti
a2a9d794a5d8d3c8b4b5ea5bde86b45d.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom