Sheria hizi hizi na Katiba inayodharauliwa kuliko maelezo? Huyo ni mshirika wao hawezi kwenda kinyume na mfumoccm.Kuna huyo Mtaalamu Gonzi kateuliwa hapo kuwa judge. Jamaa ni fundi kweli kweli wa sheria. Mungu akamuongoze kwenye kutendz haki
Kabisa,yupo vizuriKuna huyo Mtaalamu Gonzi kateuliwa hapo kuwa judge. Jamaa ni fundi kweli kweli wa sheria. Mungu akamuongoze kwenye kutendz haki
Nyumbu bwana!Lazima ateme bungo,
Na Muungano hautavunjwa, utaboreshwa tu.
Mungu ibariki TANZANIA.
Amen
Hakuna kituKuna huyo Mtaalamu Gonzi kateuliwa hapo kuwa judge. Jamaa ni fundi kweli kweli wa sheria. Mungu akamuongoze kwenye kutendz haki
Kila mbuzi anakula urefu wa kamba yake.U T E U Z I.
1. Katibu Mkuu
2. Naibu Katibu Mkuu
3. Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali
4. Majaji wa Mahakama ya Rufani
5. Majaji wa Mahakama Kuu
View attachment 2738193View attachment 2738194
amefanya teuzi