Uteuzi na Mabadiliko: Ofisi ya AG, Mahakama na Wizara ya Mambo ya Nje

Uteuzi na Mabadiliko: Ofisi ya AG, Mahakama na Wizara ya Mambo ya Nje

Ndio maana watu wakiambiwa serikali haikushinda ile kesi wanatakiwa kuelewa, hiyo asante Samia ameitoa bila aibu kwa yule jaji mpuuzi aliyefanya kazi ya shetani, sawa na wakina Jerry Slaa na Kitila Mkumbo waliopewa uwaziri kwa kuitetea kazi ya shetani.

Naamini hili taifa kwa sasa ndio lina kiongozi mbovu zaidi ya wote waliowahi kutokea kwenye historia yake, kiongozi asiyeona aibu, wala asiyeogopa kwenda kinyume na matakwa ya wale anaowaongoza, kiongozi katili asiyewajali kabisa anaowaongoza.
 
Profesa kapigwa vyeo viwili ndani ya wiki moja.

Katika hafla fupi iliyofanyika Ikulu ndogo Tunguu Zanzibar tarehe 01 Septemba, 2023.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akimuapisha Balozi Prof. Kennedy Godfrey Gastorn kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki katika hafla fupi iliyofanyika Ikulu ndogo Tunguu Zanzibar tarehe 01 Septemba, 2023
 
Ndio maana watu wakiambiwa serikali haikushinda ile kesi wanatakiwa kuelewa, hiyo asante Samia ameitoa bila aibu kwa yule jaji mpuuzi aliyefanya kazi ya shetani, sawa na wakina Jerry Slaa na Kitila Mkumbo waliopewa uwaziri kwa kuitetea kazi ya shetani.

Naamini hili taifa kwa sasa ndio lina kiongozi mbovu zaidi ya wote waliowahi kutokea kwenye historia yake, kiongozi asiyeona aibu, wala asiyeogopa kwenda kinyume na matakwa ya wale anaowaongoza, kiongozi katili asiyewajali kabisa anaowaongoza.
Ponsio Pliato alitoa hukumu kwa shinikizo ili apate kuwafurahisha Wayahudi kwa maslahi ya kisiasa, ili matokeo yake yaliishia kwa yeye mwenyewe kujinyonga, na wao kupoteza ufalme wao wa Yuda, makabila yao, hekalu lao, na imani yao waliyoirithi kutoka kwa mababu zao.

MENE, MENE, TEKELI $ PERESI
 
Kila wiki kuna uteuzi mpya, hao wateuliwa wanafanya kazi saa ngapi?
Huyu mama ajitathmini.
Hili swali ni sawa na kujiuliza Kila siku mabus ya mkoani yanabeba abiria kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine. Hao abiria wanaishi saa ngapi, hawataisha? .

Taasisi zipo nyingi zinafanyiwa uteuzi,
 
Judiciary Tanzania wamo mifukoni mwa politicians, Mgombea ujaji nchi fulani hapa hapa sadc wanakojielewa, alihojiwa kwa nafasi ya ujaji mpaka akatoa machonzi, maana aliusomea kwa shida mno, kapata msaada kutoka kwa Indian muungwana, na alipo fan ikiwa kumaliza ujaji, akarudi kwa mtu aliyemsaidia ili amlipe, alikataa na kumwambia na yeye akasaidie wengine!,jaji huyu kwa sasa ni CJ wa nchi hiyo!Tanzania bado tuna safari ndefu sana na ujinga uliochanganyikana na upumbavu ndio mtaji wa watawala, Salute na Salute tena kwa former CJ F.Nyalali (MHSRIP),huyu alikua kichwa ,hakuyumbishwa na politicians uchwara pamoja kuwa alikuwa CJ kwenye mfumo wa ovyo zaidi,chama kimoja, umeiachia legacy bora kabisa familia yako.
 
Kuna huyo Mtaalamu Gonzi kateuliwa hapo kuwa judge. Jamaa ni fundi kweli kweli wa sheria. Mungu akamuongoze kwenye kutendz haki

Kanifundisha Law School hakika anastahili alipofika. Mungu amuongoze akatimize majukumu yake vyema.
 
Ndio maana watu wakiambiwa serikali haikushinda ile kesi wanatakiwa kuelewa, hiyo asante Samia ameitoa bila aibu kwa yule jaji mpuuzi aliyefanya kazi ya shetani, sawa na wakina Jerry Slaa na Kitila Mkumbo waliopewa uwaziri kwa kuitetea kazi ya shetani.

Naamini hili taifa kwa sasa ndio lina kiongozi mbovu zaidi ya wote waliowahi kutokea kwenye historia yake, kiongozi asiyeona aibu, wala asiyeogopa kwenda kinyume na matakwa ya wale anaowaongoza, kiongozi katili asiyewajali kabisa anaowaongoza.
Taifa la kihanithi, linatawaliwa na secretari, mpiga typewriter
 
Hili swali ni sawa na kujiuliza Kila siku mabus ya mkoani yanabeba abiria kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine. Hao abiria wanaishi saa ngapi, hawataisha? .

Taasisi zipo nyingi zinafanyiwa uteuzi,
Nadhan swali ni madereva wanapumzika muda gani na kufanya social responsibility zao
 
Hii nchi kama vile jana ndo tumemaliza uchaguzi sasa rais anapanga safu ya ataokaopiga nao kazi.

Nje ya mada majina ya huko ilipo DPW ni mengi [emoji122]
 
Ndio maana watu wakiambiwa serikali haikushinda ile kesi wanatakiwa kuelewa, hiyo asante Samia ameitoa bila aibu kwa yule jaji mpuuzi aliyefanya kazi ya shetani, sawa na wakina Jerry Slaa na Kitila Mkumbo waliopewa uwaziri kwa kuitetea kazi ya shetani.

Naamini hili taifa kwa sasa ndio lina kiongozi mbovu zaidi ya wote waliowahi kutokea kwenye historia yake, kiongozi asiyeona aibu, wala asiyeogopa kwenda kinyume na matakwa ya wale anaowaongoza, kiongozi katili asiyewajali kabisa anaowaongoza.
Viongozi wote wa Africa wako hivyo.

Dpw
 
Hili swali ni sawa na kujiuliza Kila siku mabus ya mkoani yanabeba abiria kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine. Hao abiria wanaishi saa ngapi, hawataisha? .

Taasisi zipo nyingi zinafanyiwa uteuzi,
Kuna mtu hapo (Professor Gastorn aliteuliwa juzi na akaapishwa kuwa Katibu mkuu wa wizara ya mambo ya nje, hata ofisini hajaingia, leo kateuliwa upya kuwa naibu mwanasheria mkuu. Huo ni mfano rahisi sana. Lakini wapo wengi sana wameteuliwa ndani ya miezi mitatu, miezi sita, mwaka wamebadilishwa. Halafu wengi ni watu wale wale. Sasa wanafanya kazi saa ngapi?
 
Back
Top Bottom