Uteuzi na Mabadiliko: Ofisi ya AG, Mahakama na Wizara ya Mambo ya Nje

Uteuzi na Mabadiliko: Ofisi ya AG, Mahakama na Wizara ya Mambo ya Nje

Gonzi anakufundisha hadi unaona anatamani awe wewe alafu ajifundishe [emoji23][emoji23] vile anakuwa active na mizuka yakutosha.

Anajua na anapenda na wewe ujue ni chungu kimoja na Taisamo
Na uzuri wao wote wawili ni watu wanaofikika kirahisi. Yaani umepata legal problem unamtafuta hata kwenye simu ukijitambulisha tu kuwa Mimi ni mwanafunzi wako anakupa guidance chap. Sio wale walimu miungu watu wanaotaka kuabudiwa kina.........
 
Na uzuri wao wote wawili ni watu wanaofikika kirahisi. Yaani umepata legal problem unamtafuta hata kwenye simu ukijitambulisha tu kuwa Mimi ni mwanafunzi wako anakupa guidance chap. Sio wale walimu miungu watu wanaotaka kuabudiwa kina.........
Kabisa, ni mentor wazuri sana
 
Kanifundisha undergraduate course ya civil procedures law, pia kanifundisha Law school. Yule jamaa akikufundisha usipoelewa wewe mwenyewe unajitukana hivi " jamani Mimi Sina akili TU ila Mwalimu katimiza wajibu wake"

Pia Kuna mtaalam Dr Taisamo , yule baba anajua, anakufundisha probate mpaka unapata hamu ya kuandika wosia wakati haumiliki chochote[emoji3]
Hahah, kabisa
 
Ponsio Pliato alitoa hukumu kwa shinikizo ili apate kuwafurahisha Wayahudi kwa maslahi ya kisiasa, ili matokeo yake yaliishia kwa yeye mwenyewe kujinyonga, na wao kupoteza ufalme wao wa Yuda, makabila yao, hekalu lao, na imani yao waliyoirithi kutoka kwa mababu zao.

MENE, MENE, TEKELI $ PERESI
Kwani historia inamwelezea Pontio Pilato kwamba baadaye alijinyonga?
Ni kipindi gani hicho?
 
Taifa la kihanithi, linatawaliwa na secretari, mpiga typewriter
Mkuu cheo cha "secretary" unakichukulia kitafsiri kama karani siyo?

Emb jitoe tongo tongo za usingizi machoni pako, halafu nenda kwenye kioo kajitathimini!
 
Back
Top Bottom