Uteuzi na Mabadiliko: Ofisi ya AG, Mahakama na Wizara ya Mambo ya Nje

Gonzi anakufundisha hadi unaona anatamani awe wewe alafu ajifundishe [emoji23][emoji23] vile anakuwa active na mizuka yakutosha.

Anajua na anapenda na wewe ujue ni chungu kimoja na Taisamo
Na uzuri wao wote wawili ni watu wanaofikika kirahisi. Yaani umepata legal problem unamtafuta hata kwenye simu ukijitambulisha tu kuwa Mimi ni mwanafunzi wako anakupa guidance chap. Sio wale walimu miungu watu wanaotaka kuabudiwa kina.........
 
Na uzuri wao wote wawili ni watu wanaofikika kirahisi. Yaani umepata legal problem unamtafuta hata kwenye simu ukijitambulisha tu kuwa Mimi ni mwanafunzi wako anakupa guidance chap. Sio wale walimu miungu watu wanaotaka kuabudiwa kina.........
Kabisa, ni mentor wazuri sana
 
Hahah, kabisa
 
Kwani historia inamwelezea Pontio Pilato kwamba baadaye alijinyonga?
Ni kipindi gani hicho?
 
Taifa la kihanithi, linatawaliwa na secretari, mpiga typewriter
Mkuu cheo cha "secretary" unakichukulia kitafsiri kama karani siyo?

Emb jitoe tongo tongo za usingizi machoni pako, halafu nenda kwenye kioo kajitathimini!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…